Connecticut
Connecticut ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Imepakana na Massachusetts, Rhode Island na New York. Iko kwenye mwanbao wa Atlantiki. Mji mkuu ni Hartford na mji mkubwa ni Bridgeport. Jimbo lina wakazi 3,501,252 (2008) wanaokalia eneo la kilomita za mraba 14,356.
Connecticut |
|||
---|---|---|---|
Jimbo | |||
![]() |
![]() |
||
Kauli Mbiu "Qui transtulit sustinet"(kilatini) Qui transtulit sustinet (Latin)(sw) |
|||
Wimbo wa taifa Yankee Doodle |
|||
![]() | |||
Nchi | ![]() |
||
Mji Mkuu | Bridgeport | ||
Jiji kubwa | Hartford | ||
Ilijiunga | January 9, 1788 (ya 5) | ||
Lugha Zinazozungumzwa | |||
Utaifa | Connecticuter (en) | ||
Serikali | |||
Gavana | Ned Lamont (D) | ||
Naibu Gavana | Susan Bysiewicz (D) | ||
Seneta | Richard Blumenthal (D) Chris Murphy (D) | ||
Eneo | |||
Jumla | 12,559 km² | ||
Ardhi | 14,356 km² | ||
Idadi ya Watu | |||
Kadirio | ▲ 3,675,069 | ||
Pato la Taifa (2022) | |||
Jumla | ▲ $363.416 Bilioni (ya 7) | ||
Kwa kila mtu | ▲ 100,235 | ||
HDI (2022) | 0.950 (6) Maendeleo ya Juu Sana |
||
Mapato ya Kati ya Kaya (2023) |
$91,700 (6) | ||
Majira ya saa | UTC– 05:00 (EST) | ||
Tovuti 🔗ct.gov |

Connecticut ilikuwa kati ya majimbo zilizoasi dhidi ya Uingereza mwaka 1776 na kuunda nchi mpya ya Marekani tangu 1778.

Viungo vya Nje
hariri- (Kiingereza) State of Connecticut Official Website
Majimbo ya Marekani |
---|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Connecticut kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |