Connecticut ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Imepakana na Massachusetts, Rhode Island na New York. Iko kwenye mwanbao wa Atlantiki. Mji mkuu ni Hartford na mji mkubwa ni Bridgeport. Jimbo lina wakazi 3,501,252 (2008) wanaokalia eneo la kilomita za mraba 14,356.

Connecticut
Jimbo
Kauli Mbiu
"Qui transtulit sustinet"(kilatini)
Qui transtulit sustinet (Latin)(sw)
Wimbo wa taifa
Yankee Doodle
Ramani ya
Ramani ya
Eneo la Jimbo la Connecticut nchini Marekani.
Nchi Marekani
Mji Mkuu Bridgeport
Jiji kubwa Hartford
Ilijiunga January 9, 1788 (ya 5)
Lugha Zinazozungumzwa
Utaifa Connecticuter (en)
Serikali
Gavana Ned Lamont (D)
Naibu Gavana Susan Bysiewicz (D)
Seneta Richard Blumenthal (D) Chris Murphy (D)
Eneo
Jumla 12,559 km²
Ardhi 14,356 km²
Idadi ya Watu
Kadirio 3,675,069
Pato la Taifa (2022)
Jumla $363.416 Bilioni (ya 7)
Kwa kila mtu 100,235
HDI (2022) 0.950 (6)
Maendeleo ya Juu Sana
Mapato ya Kati
ya Kaya (2023)
$91,700 (6)
Majira ya saa UTC– 05:00 (EST)
Tovuti
🔗ct.gov
Sehemu ya Jimbo la Connecticut

Connecticut ilikuwa kati ya majimbo zilizoasi dhidi ya Uingereza mwaka 1776 na kuunda nchi mpya ya Marekani tangu 1778.

Viungo vya Nje

hariri
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

  Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Connecticut kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.