Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama Georgia (maana)

Sehemu ya Jimbo la Georgia








Georgia

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Atlanta
Eneo
 - Jumla 153,909 km²
 - Kavu 149,976 km² 
 - Maji 3,933 km² 
Tovuti:  http://www.georgia.gov/

Georgia ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika kusini mashariki ya Marekani bara. Imepakana na Florida, Alabama, Tennessee, North Carolina na South Carolina. Upande wa kusini magharibi kuna pwani la Atlantiki.

Georgia ilikuwa kati ya koloni asilia 13 za Kiingereza katika Amerika ya Kaskazini zilizoasi dhidi ya Uingereza 1776 ikawa jimbo la Marekani 1788.

Jina la koloni asilia lilitolewa kwa heshima ya mfalme George II. wa Uingereza aliyekuwa pia mtemi wa Hannover.

Mji mkuu na mji mkubwa wa jimbo la Georgia ni Atlanta. Eneo la jimbo ni 154,077 km² na idadi ya wakazi inazidi milioni nane.

Takriban theluthi ya wakazi wana asili ya Kiafrika ni watoto wa watumwa wa kale.

Ramani ya Georgia
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Georgia (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.