New York (jimbo)

jimbo la Marekani

New York, pia inajulikana kama Jimbo la New York, ni jimbo lililoko kaskazini-mashariki mwa Marekani. Linapakana na New England upande wa mashariki, Canada upande wa kaskazini, na Pennsylvania na New Jersey upande wa kusini, na eneo lake linaenea mpaka Bahari ya Atlantiki na Maziwa Makuu. New York ni jimbo la nne kwa idadi ya watu nchini Marekani, likiwa na takriban wakazi milioni 20, na jimbo la 27 kwa ukubwa kwa eneo, likiwa na jumla ya eneo la maili za mraba 54,556 (kilomita za mraba 141,300).

Jimbo la New York
New york state (en)
Jimbo
Kauli Mbiu
Excelsior (Kilatini)
Daima Juu (sw)
Ever upward
Ramani ya
Ramani ya
Eneo la New York Marekani.
Nchi Marekani
Mji Mkuu Albany
Jiji kubwa New York
Ilijiunga Julai 26, 1788 (11)
Lugha Zinazozungumzwa Kiingereza 69.6%

Kihispania 15.2%
Kichina 3.1%

Kitagalog 2.5%
Utaifa New yorker (en)
Serikali
Gavana Kathy Hochul (D)
Naibu Gavana Antonio Delgado (D)
Eneo
Jumla 141298 km²
Ardhi 122057 km²
Maji 19240 (13.62%)
Idadi ya Watu
Kadirio increase 19,867,248
Pato la Taifa (2022)
Jumla increase $2.28 Trillioni (ya 3)
Kwa kila mtu increase 117,332
HDI (2022) 0.937 (13)
Maendeleo ya Juu Sana
Mapato ya Kati
ya Kaya (2023)
$82,100 (14)
Majira ya saa UTC– 05:00 (EST
Tovuti
🔗ny.gov


Mji mkuu ni Albany lakini mji mkubwa ni New York.

Jimbo lina wakazi 19,254,630 kwenye eneo la 141,205 km².

Mto mkubwa ni Mto Hudson.

Ilikuwa moja ya koloni 13 asilia za Uingereza zilizoasi dhidi ya nchi mama tangu mwaka 1776 na kuanzisha Muungano wa Madola ya Amerika.

Demografia

hariri

Idadi ya Watu

hariri
Mwaka Idadi ya Watu
1790 340,120
1800 589,051
1810 959,049
1820 1,372,812
1830 1,918,608
1840 2,428,921
1850 3,097,394
1860 3,880,735
1870 4,382,759
1880 5,082,871
1890 6,003,174
1900 7,268,894
1910 9,113,614
1920 10,385,227
1930 12,588,066
1940 13,479,142
1950 14,830,192
1960 16,782,304
1970 18,236,967
1980 17,558,072
1990 17,990,455
2000 18,976,457
2010 19,378,102
2020 20,201,249
2024 (Makadirio) 19,867,248

Chanzo: [1] [2]

Msongamano katika Jimbo la New York

hariri
 
Kati ya wakazi milioni 19.5 wa jimbo la New York, milioni 11, sawa na asilimia 56, wako katika Jiji la New York au Kisiwa cha Long Island

Marejeo

hariri

New York census data kutoka Factfinder.census.gov Archived 2020-02-12 at Archive.today

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

  Makala hii kuhusu maeneo ya New York bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu New York (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. "Historical Population Change Data (1910–2020)". Census.gov. United States Census Bureau. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 29 Aprili 2021. Iliwekwa mnamo 28 Januari 2025.
  2. "New York QuickFacts". Census.gov. United States Census Bureau. Iliwekwa mnamo 28 Januari 2025.