Papa Leo IV
Papa Leo IV, O.S.B. alikuwa Papa kuanzia tarehe 10 Aprili 847 hadi kifo chake tarehe 17 Julai 855.
Alimfuata Papa Sergio II akafuatwa na Papa Benedikto III.
Kanisa Katoliki linamheshimu kama mtakatifu.
Tazama piaEdit
Maandishi yakeEdit
- Opera Omnia katika Patrologia Latina iliyotolewa na Migne pamoja na faharasa
TanbihiEdit
MarejeoEdit
- Cheetham, Nicolas, Keepers of the Keys, New York: Charles Scribner's Sons, 1983. ISBN 0-684-17863-X
Viungo vya njeEdit
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Leo IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |