Boston, Massachusetts

mji mkuu wa Jimbo la Massachusetts, Marekani

Boston ndiyo mji mkuu katika jimbo la Massachusetts. Mji una wakazi wapatao 7,514,759 na hiyo ni kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2007.

Mji wa Boston, Massachusetts






Boston

Bendera
Boston is located in Marekani
Boston
Boston

Mahali pa mji wa Boston katika Marekani

Majiranukta: 42°19′18″N 71°5′21″W / 42.32167°N 71.08917°W / 42.32167; -71.08917
Nchi Marekani
Jimbo Massachusetts
Wilaya Suffolk
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 608,352
Tovuti:  www.cityofboston.gov
Ramani ya Boston

Mji uko futi 141 juu ya usawa wa bahari.

Historia hariri

Mji ulianzishwa tarehe 17 Septemba katika mwaka wa 1630.

Boston iliundwa na walowezi Waprotestanti kutoka Uingereza waliotafuta uhuru wa kidini. Walichagua rasi ndogo kwenye pwani ya hori ya Massachusetts.

Mji ukakua kuwa mji mkubwa katika makoloni ya Uingereza katika Amerika ya Kaskazini.

Katika karne ya 18 Boston ulikuwa kitovu cha upinzani wa walowezi dhidi ya kodi mpya za Uingereza na vita ya uhuru wa Marekani ilianza hapa mjini na katika vijiji karibu nao.

Tazama pia hariri

Viungo vya Nje hariri


Miji mikuu ya majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

  Makala hii kuhusu maeneo ya Massachusetts bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Boston, Massachusetts kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.