Helena ni mji mkuu wa jimbo la Montana nchini Marekani. Idadi ya wakazi ni mnamo 25,780 (sensa 2000) na pamoja na maneneo jirani ni watu 67,636.

Helena
Nchi Marekani
Jimbo Montana
Wilaya Lewis and Clark
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 25,780
Tovuti:  www.ci.helena.mt.us
Capitol (jumba la bunge la kijimbo) mjini Helena
Helena, Montana

Helena ilikuwa na majina mbalimbali katika historia yake. Mji uliundwa mwaka 1864 baada ya kugunduliwa kwa dhahabu mtoni. Jina la kwanza la mji ulikuwa "Crabtown" kufuatana na John Crab aliyekuwa kati ya waanzilishaji wake. Baadaye jina likabadilishwa kuwa Pumpkinville halafu Squashtown.

Mwishowe jina jipya likatafutwa wakafuata pendekezo la "Saint Helena" wakaifupisha kuwa Helena.


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Helena, Montana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Majimbo na maeneo ya Marekani
Majimbo ya Marekani
AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming
Mkoa wa Mji Mkuu
Mkoa wa Columbia (Washington D.C.)
Visiwa vya ng'ambo
Katika Pasifiki: Samoa ya MarekaniVisiwa vya Mariana ya KaskaziniGuamKatika Karibi: Puerto RicoVisiwa vya Virgin vya MarekaniVisiwa vidogo sana vya Pasifiki:Kisiwa cha HowlandKisiwa cha Jarvis Atolli ya JohnstonKingman ReefAtolli ya MidwayKisiwa cha BakerAtolli ya PalmyraKisiwa cha WakeKisiwa kidogo cha Karibi: Kisiwa cha Navassa