Mkoa wa Geita


Mkoa wa Geita ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania. Umepakana na Kagera upande wa magharibi, Shinyanga upande wa kusini na Mwanza upande wa mashariki. Ziwa la Viktoria Nyanza liko kaskazini.

Mkoa wa Geita
Mahali paMkoa wa Geita
Mahali pa Mikoa ya Geita na Mwanza katika Tanzania kabla ya umegaji
Nchi Tanzania
Wilaya
Mji mkuu Geita
Serikali
 - Mkuu wa Mkoa

Makao makuu ya mkoa yapo Geita mjini.

Kabla ya kuanzishwa mkoa mpya wa Geita, eneo hili lilikuwa sehemu ya mkoa wa Mwanza. Kwa sasa wakazi ni 2,977,608 (sensa ya mwaka 2022[1]) katika wilaya 5.

Mkoa wa Geita ulikadiriwa kuwa na wakazi 1,882,141 mnamo mwaka 2015.[2]

Wilaya za mkoa wa GeitaEdit

Wilaya za mkoa huo mpya ni:

WakaziEdit

Makabila makubwa katika mkoa huu ni Wasukuma, Wasumbwa, Walongo na Wazinza.

Majimbo ya bungeEdit

Wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015 mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo:

Tazama piaEdit

TanbihiEdit

  1. https://assengaonline.com/2022/11/05/matokeo-ya-sensa-2022-tanzania/
  2. 17 Population Distribution and Average Annual Intercensal Growth Rate by Region, Tanzania, Tanzania in Figures, tovuti ya Tanzania National Bureau of Statistics, iliangaliwa Septemba 2017

Viungo vya njeEdit

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Geita bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.