Jimbo Kuu la Bujumbura

Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Jimbo Kuu la Bujumbura (kwa Kilatini Archidioecesis Buiumburaensis) ni mojawapo kati ya majimbo 8 ya Kanisa Katoliki nchini Burundi na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Kikanisa lina majimbo ya Bubanza na Bururi chini yake.

Askofu mkuu wake ni Evariste Ngoyagoye.

Historia hariri

Uongozi hariri

  • Maaskofu wakuu wa Bujumbura
    • Evariste Ngoyagoye (2006 - )
  • Maaskofu wa Usumbura halafu Bujumbura
  • Vicar Apostolic wa Usumbura
    • Michel Ntuyahaga (1959)

Takwimu hariri

Eneo ni la kilometa mraba 2,200, ambapo kati ya wakazi 1,968,000 (2012) Wakatoliki ni 1,542,000 (78.4%) katika parokia 29.

Viungo vya nje hariri