Uislamu nchini Tunisia

Uislamu ni dini rasmi ya dola nchini Tunisia. Imekadiriwa ya kwamba sehemu kubwa ya Watunisia hujisebia kuwa ni Waislamu, japokuwa hapajawahi kuwa na sensa ya jambo hilo. Waumini wengi nchini ni wale wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya imamu Maliki, lakini idadi ndogo kabisa ni Ibadhi.[1]

Msikiti Mkubwa wa Tunis Zitouna
Uislamu kwa nchi

Marejeo hariri

  1. Roy, Olivier (1994). The Failure of Political Islam. Harvard University Press. uk. 126. Iliwekwa mnamo 2 April 2015.  Check date values in: |accessdate= (help)