Uislamu nchini Gambia

(Elekezwa kutoka Uislamu nchini the Gambia)


Uislamu ni dini yenye wafuasi wengi nchini Gambia, ikiwa na asilimia 95.3 za idadi ya wakazi wote wa nchi hiyo.[1] Sehemu kubwa ya Waislamu wa Gambia ni wa dhehebu la Sunni wanaofuata mwongozo wa Maliki, wenye athira pia ya Usufi. Vilevile kuna nyendo za Wahmadiyya.[2]

Msikiti nchini Gambia
Uislamu kwa nchi

Uislamu nchini humo unasifika kwa kushirikiana na makundi mengine ya dini. Baadhi ya makundi hayo ni pamoja na Kanisa Katoliki, Uprotestanti na Dini asilia za Kiafrika.

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. http://features.pewforum.org/muslim-population/
  2. Association of Religious Data Archives. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-06-10. Iliwekwa mnamo May 31, 2014.