Jimbo Katoliki la Mtwara

Jimbo Katoliki la Mtwara (kwa Kilatini "Dioecesis Mtuarana") ni jimbo la Kanisa Katoliki lenye makao makuu mjini Mtwara katika kanda ya Songea upande wa kusini nchi Tanzania.

Kanisa kuu la Jimbo la Mtwara, Tanzania.
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Kama majimbo yote 34 ya nchi hiyo, linafuata mapokeo ya Roma.

Eneo la jimbo lina kilometa mraba 7,780, ambapo wanaishi wakazi 859,000 (2013), wengi wao wakiwa Waislamu. Kati yao Wakatoliki ni 73,700, sawa na asilimia 8.6, nao wanaunda parokia 18.

Askofu wa jimbo ni Titus Joseph Mdoe. Mapadri ni 42, ambao kati yao 23 ni wanajimbo na 19 watawa. Kwa wastani kila padri anahudumia waamini 1.754.

Mabruda ni 38 na masista 189.

Historia hariri

Mlolongo wa Maaskofu hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Katoliki la Mtwara kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.