Uislamu nchini Mali
Uislamu nchini Mali ndiyo dini inayoongoza. Waislamu kwa sasa wanakadiriwa kuwa asilimia 90 ya jumla ya wakazi wote wa nchini Mali.
Uislamu kwa nchi |
Sehemu kubwa ya Waislamu wa Mali ni wale wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya Imamu Maliki, wenye athira ya Usufii.[1]Matawi ya Ahmadiyya na Shia nayo yapo.[2]
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ "International Religious Freedom Report 2005 - Mali". Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor - US Department of State. Iliwekwa mnamo 2009-06-25.
- ↑ "The World's Muslims: Unity and Diversity". Pew Forum on Religious & Public life. August 9, 2012. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-10-24. Iliwekwa mnamo August 14, 2012. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)