Paliumu (kutoka Kilatini pallium) ni vazi linalotumika katika Kanisa la Kilatini.

Papa Inosenti III akiwa amevaa paliumu alivyochorwa ukutani katika monasteri ya Subiaco.
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Kwanza lilitumiwa na Papa wa Roma tu, lakini baadaye lilianza kutolewa naye kwa maaskofu wakuu kuonyesha mamlaka waliyonayo juu ya maaskofu kwa kushirikishwa na Ukulu mtakatifu.

Vazi lenyewe ni utepe mweupe uliotengenezwa kwa sufu ya mwanakondoo na uliotiwa misalaba myeusi sita: mine katika duara na miwili katika sehemu inayoangukia kifuani na mgongoni.

Utepe huo unavaliwa shingoni wakati wa adhimisho la Misa katika jimbo kuu na majimbo ya kanda yake, ila Papa anauvaa duniani kote kuonyesha hadhi yake kama mchungaji mkuu wa kundi lote la Kristo kadiri ya imani ya Kanisa Katoliki.

Maaskofu wa Ukristo wa Mashariki huwa wanavaa nguo inayofanana, lakini ni pana zaidi: omofori.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Paliumu kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.