Jimbo Katoliki la Vigevano
Jimbo Katoliki la Vigevano (kwa Kilatini "Viglevanensis") ni mojawapo kati ya majimbo 223 ya Kanisa Katoliki nchini Italia na kama hayo yote (isipokuwa 3) linafuata mapokeo ya Kiroma.
Vigevano iko katika eneo la Pavia kwenye mkoa wa Lombardia.
Kikanisa linahusiana na Jimbo Kuu la Milano.
Askofu wake ni Maurizio Gervasoni.
Uongozi katika karne XX na XXIEdit
- Maaskofu wa karne ya 20
- Pietro Berruti † (1898 - 1921)
- Angelo Giacinto Scapardini, O.P. † (1921 - 1937)
- Giovanni Bargiggia † (1937 - 1946)
- Antonio Picconi † (1946 - 1952)
- Luigi Barbero † (1952 - 1971)
- Mario Rossi † (1971 - 1988)
- Giovanni Locatelli † (1988 - 2000)
- Claudio Baggini † (2000 - 2011)
- Vincenzo Di Mauro (2011 - 2012)
- Dionigi Tettamanzi (2012 - 2013) (Msimamizi wa Kitume)
- Maurizio Gervasoni, kutoka 20 Julai 2013
TakwimuEdit
Eneo ni la kilometa mraba 1.509, ambapo kati ya wakazi 193.000 (2012) Wakatoliki ni 183.400 (95,00%).