Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Kardinali mlinzi alikuwa kardinali aliyeteuliwa na nchi, mashirika ya kitawa, vyama vya kitume, makanisa, mabweni na miji au aliyetolewa na Papa kwa miundo hiyo ili aisimamie kwa niaba yake na kuitetea huko Roma katika ofisi kuu za Kanisa Katoliki.

Desturi hiyo ilianza katika karne ya 13 Fransisko wa Assisi alipomuomba papa Inosenti III na halafu papa Onori III apewe Ugolino, kardinali wa Ostia, kama mlinzi wa utawa wake wa Ndugu Wadogo.

Mamlaka ya kardinali mlinzi iliongezwa au kupunguzwa kadiri ya mang'amuzi mpaka iliposimamishwa kwa jumla baada ya Mtaguso wa pili wa Vatikano (1962-1965).

Papa Gregori IX, rafiki wa Fransisko wa Assisi, kabla ya kuchaguliwa kuwa Papa, alikuwa Kardinali mlinzi wa kwanza.

Marejeo hariri

  • HIERONYMI PLATI, Tractatus de cardinalis dignitate et officio (Rome, 1836), XXXIII
  • HUMPHREY, Urbis et Orbis (London, 1896).
  Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kardinali mlinzi kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.