Kanisa Katoliki la Armenia
Kanisa Katoliki la Armenia (kwa Kiarmenia Հայ Կաթողիկէ Եկեղեցի Hay Kat’oġikē Ekeġec’i) ni madhehebu ya Kanisa Katoliki yanayofuata mapokeo ya Kanisa la Armenia katika ushirika kamili na Papa wa Roma.
Ushirika huo ulidhoofika baada ya Mtaguso wa Kalsedonia (451), hasa kutokana na ugumu wa mawasiliano. Lakini haukuisha kabisa, na kwa nyakati mbalimbali uliweza kuimarishwa tena, hasa kuanzia 1195.
LiturujiaEdit
Kanisa hilo linatumia liturujia ya Armenia inayofuata mapokeo ya Gregori Mletamwanga, aliyeingiza taifa lote la Armenia katika Ukristo.
Uongozi na ueneziEdit
Mkuu wake anaitwa Patriarki wa Kilikia wa Waarmenia na kwa sasa ni Nerses Bedros XIX Tarmouni.
Makao makuu huko Bzoummar (Lebanoni, lakini waamini wengi wanaishi Armenia na katika nchi za kandokando. Wengine wanaishi sehemu nyingi duniani. Jumla wako 539,806 (2008).
MajimboEdit
Kanda ya Kanisa ya Patriarki wa Kilikia wa WaarmeniaEdit
- Jimbo Kuu la Beirut la Waarmenia ( Lebanon, chini ya Patriarki mwenyewe)
- Jimbo la Aleksandria la Waarmenia ( Misri)
- Jimbo la Ispahan ( Iran)
- Jimbo la Kamichlié ( Syria)
Majimbo makuuEdit
- Jimbo kuu la Alep la Waarmenia ( Syria)
- Jimbo kuu la Baghdad la Waarmenia ( Iraq)
- Jimbo kuu la Konstantinopoli la Waarmenia ( Uturuki)
- Jimbo kuu la Lviv la Waarmenia ( Ukraine)
MajimboEdit
- Jimbo la Bibi Yetu wa Nareg jijiji New York ( Marekani, Kanada)
- Jimbo la Msalaba Mtakatifu jijini Paris ( Ufaransa)
- Jimbo la Mtakatifu Gregori wa Narek jijini Buenos Aires ( Argentina)
Esarkia ya kitumeEdit
OrdinariatiEdit
- Ordinariati ya Kiarmeno ya Ulaya mashariki ( Armenia)
- Ordinariati ya Ugiriki ya Waarmenia ( Greece)
- Ordinariati ya Romania ( Romania)
Esarkia ya kipatriarkiEdit
PichaEdit
- Makao makuu ya Patriarki Katoliki wa Waarmenia, Bzoummar, Lebanon
Ukumbusho wa maangamizi hayo na wa KatholiKos Abraham Petros I Ardzivian (1993)
Undani wa kanisa la Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni
- Parokia za Waarmenia Katoliki
Undani wa Kanisa kuu la Ufufuko mtakatifu, Stanyslaviv, Ukraina (karne ya 17)
Kanisa la Mt. Gregori Mletamwanga, Glendale, California, Marekani (2001)
Viungo vya njeEdit
- Tovuti rasmi kwa Kiarmenia na Kiingereza
- Orodha ya majimbo yake katika Giga-catholic
- Armeniapedia
- Madhehebu ya Kanisa Katoliki Archived 15 Juni 2006 at the Wayback Machine.
- Hati Orientalium Ecclesiarum ya Mtaguso wa pili wa Vatikano
- Hati Orientales omnes Ecclesias ya Papa Pius XII
- Orientale Lumen[dead link] - Hati ya Papa Yohane Paulo II kuhusu Makanisa ya Mashariki
- Codex Canonum Ecclesiarum Orientalium - Mkusanyo wa Sheria za Makanisa ya Mashariki (katika Kilatini pamoja na sehemu sambamba)
- Instruction for Applying the Liturgical Prescriptions of the Code of Canons of the Eastern Churches Archived 25 Aprili 2009 at the Wayback Machine. - Hati ya Idara ya Papa kwa Makanisa ya Mashariki kuhusu liturujia
- Ujuzi wa msingi kuhusu Makanisa hayo Archived 17 Mei 2011 at the Wayback Machine.
- CNEWA Idara ya Papa inayosaidia Makanisa hayo Archived 9 Machi 2009 at the Wayback Machine.
- Sura ya Idara ya Papa kwa Makanisa hayo
- Takwimu za Makanisa hayo Archived 27 Juni 2007 at the Wayback Machine.