Laos (kwa Kilao: ລາວ), rasmi kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Laos, ni nchi isiyo na pwani iliyoko katika eneo la Kusini-Mashariki mwa Asia. Inapakana na Uchina upande wa kaskazini, Vietnam upande wa mashariki, Kambodia upande wa kusini, Uthai upande wa magharibi, na Myanmar upande wa kaskazini-magharibi. Kwa idadi ya watu, ambao ni takriban milioni 8, Laos ni nchi ya 103 duniani, na ya 23 barani Asia. Mji mkuu wake ambao pia ni jiji kubwa zaidi ni Vientiane. Laos inajulikana kwa mandhari yake ya milima na misitu, historia ya kifalme, utamaduni tajiri wa Kibuddha, na Mto Mekong unaopita katikati ya nchi.

Sathalanalat Pasathipatai Pasason Lao
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Laos
Bendera ya Laos Nembo ya Laos
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: ສັນຕິພາບ ເອກະລາດ ປະຊາທິປະໄຕ ເອກະພາບ ວັດຖະນາຖາວອນ
Peace, Independence, Democracy, Unity and Prosperity
Wimbo wa taifa: Pheng Xat Lao
Lokeshen ya Laos
Mji mkuu Vientiane
17°58′ N 102°36′ E
Mji mkubwa nchini Vientiane
Lugha rasmi KiLao
Serikali Kikomunisti
Thongloun Sisoulith (ທອງລຸນ ສີສຸລິດ)
Phankham Viphavanh (ພັນຄຳ ວິພາວັນ)
Uhuru
Tarehe
Kutoka Ufaransa
19 Julai 1949
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
236,800 km² (84)
2%
Idadi ya watu
 - 2024 kadirio
 - 2005 sensa
 - Msongamano wa watu
 
7,953,556 (103)
5,621,000
26.7/km² (177th)
Fedha Kip (LAK)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+7)
(UTC+7)
Intaneti TLD .la
Kodi ya simu +856

-


Wakazi wengi (53.2%) ni Walao, 11% ni Wakhmu, 9% Wahmong n.k.

Lugha rasmi ni Kilao pamoja na Kifaransa.

Upande wa dini, 66% ni Wabuddha wa madhehebu ya Theravada. 30.7% wanafuata dini za jadi (Satsana Phi) na 1.5% ni Wakristo, wakiwemo kwanza Waprotestanti, halafu Wakatoliki.

Tazama pia

hariri

Viungo vya nje

hariri
 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Specialist
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


  Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Laos kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.