Maldivi ni nchi huru kwenye funguvisiwa la Maldivi katika Bahari Hindi kuanzia tarehe 26 Julai 1965.

Jamhuri ya Maldivi
ދިވެހިރާއްޖޭގެ ޖުމުހޫރިއްޔާ
Bendera ya Maldivi Nembo ya Maldivi
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: Gavmii mi ekuverikan matii tibegen kuriime salaam
"Twasalimu taifa letu kwa umoja"
Lokeshen ya Maldivi
Mji mkuu Malé
4°10′ N 73°30′ E
Mji mkubwa nchini Malé
Lugha rasmi Kidhivehi, Kiingereza
Serikali Jamhuri
Mohamed Muizzu
Uhuru
kutoka Uingereza
26 Julai 1965
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
298 km² (ya 206)
--
Idadi ya watu
 - Julai 2018 kadirio
 - 2014 sensa
 - Msongamano wa watu
 
392,473 (ya 1751)
341,356
1,102.5/km² (ya 11)
Fedha Rufiyaa (MVR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+5)
(UTC)
Intaneti TLD .mv
Kodi ya simu +960

-

1 Makadirio ya UM ya 2005.



Malé ni mji mkuu wa Maldivi

Kabla ya hapo ilikuwa chini ya ulinzi wa Uingereza tangu mwaka 1887.

Iko km 700 kusini - magharibi kwa Sri Lanka.

Kwa jumla kuna visiwa 1,192 na kati ya hivyo takriban 200 hukaliwa na watu.

Hakuna uhakika juu ya maana ya asili ya jina lenyewe.

Mji mkuu ni Malé.

Wakazi karibu wote ni Waislamu; ya kwao ndiyo dini rasmi.

Lugha ya kawaida na lugha rasmi ni Kidhivehi, mojawapo ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Maldivi iko hatarini kupotea. Ni kwamba kimo cha juu cha nchi yake ni mita 5.1 pekee juu ya uwiano wa bahari, na wastani wake ni mita 1.5 tu. Hivyo, kama mabadiliko ya hali ya hewa kutokana kwa kupanda kwa halijoto duniani yatazidi kuleta kupanda kwa uwiano wa bahari, nchi hii yote itazama chini ya maji.

Tazama pia hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


  Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Maldivi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.