Malaysia ni nchi ya Asia ya kusini-mashariki kando ya Bahari ya Kusini ya China.

Malaysia


Ramani ya Malaysia.

Ina sehemu mbili ambazo ni:

Upande wa rasi Malaysia imepakana na Uthai na Singapore. Sehemu ya Borneo imepakana na Brunei na Indonesia.

Kisiasa Malaysia ni shirikisho la majimbo 13 na maeneo ya shirikisho 3.

Historia hariri

Nchi ilianzishwa mwaka 1963 wakati Shirikisho la Kimalay (kwa Kimalay: Persekutuan Tanah Melayu) liliungana na Singapur, Sabah na Sarawak ambazo awali zilikuwa chini ya Uingereza.

Hata hivyo Singapur iliondoka mwaka 1965 ikawa nchi ya pekee.

Majimbo ya Shirikisho hariri

Malaysia ni Shirikisho la Kifalme. Tisa kati ya majimbo yake 13 ni sultani chini ya utaratibu wa kifalme na manne hufuata muundo wa jamhuri.

Majimbo ya shirikisho ni kama yafuatavyoː

Sultani tisa zinazoongozwa na Sultani pamoja na waziri mkuu anayechaguliwa na bunge la jimbo:

Majimbo manne chini ya gavana anayeteuliwa na serikali kuu na waziri mkuu anayechaguliwa na bunge la jimbo:

Maeneo matatu ya shirikisho:

Watu hariri

Wakazi ni mchanganyiko mkubwa, lakini Wamalay (50.1%) na wakazi asili wengine walio Waislamu wanapewa na katiba ya nchi nafasi ya pekee. Wachina ni 22.6%. Wahindi ni 7.3%

Lugha rasmi ni Kimalay, lakini zinatumika pia lugha nyingine 136.

Dini rasmi ni Uislamu unaofuatwa na 61.3% za wakazi (wengi wakiwa Wasuni), wakati 19.8% ni Wabuddha, 9.2% ni Wakristo, 6.3% ni Wahindu, 1.3% ni wafuasi wa dini za Kichina (Ukonfusio na Utao).

Tazama pia hariri

Viungo vya Nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


  Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Malaysia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.