Kanisa Katoliki la Kimelkiti

Kanisa Katoliki la Kimelkiti (kwa Kiarabu: كنيسة الروم الملكيين الكاثوليك, Kanīsat ar-Rūm al-Malakiyyīn al-Kāṯūlīk) ni mojawapo kati ya madhehebu ya Kanisa Katoliki yanayoongozwa na Patriarki wake akisaidiwa na sinodi yake na akiwa na ushirika kamili na Papa wa Roma tangu mwaka 1729.

Kanisa kuu la Kipatriarki la Damasko, Siria.
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Makao makuu yako Damasko, Siria, lakini Patriarki anatumia jina la Antiokia na mashariki yote, Aleksandria na Yerusalemu.

Kwa sasa (tangu tarehe 21 Juni 2017) Patriarki ni Youssef Absi, S.M.S.P., anayetokea Damasko.

Kwa asili waamini wake wengi (milioni 1.6) wanazungumza Kiarabu, lugha rasmi ya Kanisa hilo, ingawa hasa siku hizi wana mchanganyiko mkubwa wa damu.

Asili ya jina hariri

Melkiti ni neno linalotokana na malkā, yaani mfalme kwa Kiaramu, na awali lilimaanisha Wakristo wa Mashariki ya Kati waliokubali maamuzi ya Mtaguso wa Kalsedonia (451) uliokuwa unaungwa mkono na kaisari wa Konstantinopoli.[1] Jina hilo linaendelea kutumiwa na Wakatoliki tu.

Pamoja na kwamba kwa asili Wakristo hao walikuwa wanafuata mapokeo ya Antiokia, au pengine wa Aleksandria au wa Yerusalemu, walikuja kupokea liturujia ya Ugiriki kama Waorthodoksi wengine, wakati waliokataa mtaguso huo waliendelea na liturujia zao.[2]

Uenezi hariri

Katika nchi za Kiarabu, Kanisa hilo lina majimbo kama ifuatavyo:

Katika nchi nyingine duniani, Kanisa lina majimbo kama ifuatavyo:

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

Tanbihi hariri

  1. Dick (2004), p. 9
  2. Faulk (2007), p. 5.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kanisa Katoliki la Kimelkiti kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.