Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama Georgia (maana)

Georgia
საქართველო
Bendera ya Georgia Nembo ya Georgia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: ძალა ერთობაშია(Kigeorgia)
"Nguvu ni Umoja"
Wimbo wa taifa: Tavisupleba ("Uhuru")
Lokeshen ya Georgia
Mji mkuu Tbilisi
41°43′ N 44°47′ E
Mji mkubwa nchini Tbilisi
Lugha rasmi Kigeorgia (pia Kiabkhazi katika Abkhazia)
Serikali Jamhuri
Salome Zourabichvili (სალომე ზურაბიშვილი)
Irakli Kobachidze (ირაკლი კობახიძე)
Chanzo cha Taifa
Kuanzishwa kwa Kolkhis
na Iberia ya Kaukazi
kama falme za kwanza katika Georgia
Ufalme wa Georgia uliounganishwa
Jamhuri ya kwanza ya Georgia
Uhuru kutoka Umoja wa Kisovyeti
Ilitangazwa
Ilitambuliwa
Ilikamilishwa

mnamo2000 BC


1008
26 Mei 1918

9 Aprili 1991
6 Septemba 1991
25 Desemba 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
69,420 km² (ya 120)
Idadi ya watu
 - 2017 kadirio
 - 2014 sensa
 - Msongamano wa watu
 
3,718,200[1] (ya 1311)
3,729,635
53.5/km² (137)
Fedha Lari (ლ) (GEL)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
MSK (UTC+3)
MSD (UTC+4)
Intaneti TLD .ge
Kodi ya simu +995

-

1 Population figure excludes Abkhazia and South Ossetia.


Ramani ya Georgia

Georgia (kwa Kigeorgia: საქართველო "Sakartvelo") ni nchi ya Kaukazi kati ya Ulaya na Asia kwenye mwambao wa Bahari Nyeusi.

Imepakana na Urusi, Uturuki, Armenia na Azerbaijan.

Georgia ina wakazi milioni 3.7. Zaidi ya milioni 1 hukaa mjini Tbilisi ambao ndio mji mkuu wa nchi.

Jiografia hariri

Georgia ni nchi ya milima ya Kaukazi inayofikia kimo cha mita 5,068. Kati ya safu mbili za milima kuna tambarare ya Kolkhis.

Upande wa magharibi unafaidika zaidi na Bahari Nyeusi, hivyo una hali ya hewa safi na mvua nyingi inayofaa kwa kilimo hasa cha mizabibu.

Historia hariri

Georgia ilikuwa sehemu ya Umoja wa Kisovyeti lakini imekuwa nchi huru tangu 1991.

Maeneo ya Abkhazia na Ossetia ya Kusini yamedai uhuru pia na kwa sasa hayapo chini ya serikali kuu, lakini hayatambuliki kimataifa.

Utamaduni hariri

Wakazi walio wengi (71%) huzungumza lugha ya Kigeorgia lakini kuna vikundi vya wazungumzaji wa Kirusi (9%), Kiarmenia (7%), Kiazeri (6%) na lugha nyingine.

Wageorgia wengi ni Wakristo wanaofuata Kanisa la Kiorthodoksi la Georgia (83.9%). Kuna pia wafuasi wa Kanisa la Kitume la Armenia (3.9%) na Wakatoliki (0.8%). Waislamu ni 9.9%, wakati Wayahudi wanazidi kuhama.

Watu maarufu hariri

Mgeorgia anayejulikana zaidi duniani alikuwa Josef Stalin, mtawala wa Urusi wakati wa Ukomunisti.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "Number of Population as of January 1, 2017 — National Statistics Office of Georgia" (PDF). Retrieved 1 May 2017.

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Serikali
Taarifa za jumla
News media
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


  Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Georgia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Georgia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.