Jimbo Kuu la Songea

(Elekezwa kutoka Jimbo kuu la Songea)
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Jimbo Kuu la Songea (kwa Kilatini Archidioecesis Songeana) ni mojawapo kati ya majimbo makuu 7 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania, likiongoza majimbo ya kusini, yakiwemo Mbinga, Tunduru-Masasi, Mtwara, Lindi na Njombe.

Makao makuu ni mjini Songea, ambapo pana Kanisa kuu la mtakatifu Mathias Mulumba Kalemba.

Askofu mkuu ni Damian Dallu.

Takwimu (mwaka 2004) hariri

Jimbo lenyewe la Songea lina waamini 223.111 (46.9%) kati ya wakazi 476.161 wa eneo lote la kilometa mraba 38,600.

Mapadri ni 105, ambao kati yao 62 ni wanajimbo na 43 watawa. Hivyo kwa wastani kila mmojawao anahudumia Wakatoliki 2,124 katika parokia 27.

Pia jimboni wanaishi mabruda 227 na masista 458.

Historia hariri

Baada ya hatua mbalimbali ya uinjilishaji chini ya wamonaki Wabenedikto, tarehe 6 Februari 1969 jimbo liliundwa rasmi, halafu tarehe 18 Novemba 1987 lilifanywa jimbo kuu kwa hati Christi Domini ya Papa Yohane Paulo II.

Maaskofu hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Kuu la Songea kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.