Kamerun
| |||||
Lugha rasmi | Kifaransa | ||||
Mji Mkuu | Yaounde | ||||
Mji Mkubwa | Douala | ||||
Serikali | Jamhuri | ||||
Rais | Biya | ||||
Eneo | km² 475,442 | ||||
Idadi ya wakazi | 25,216,267 (2018) | ||||
Wakazi kwa km² | 39.7 | ||||
Uchumi nominal | Bilioni $38.445 | ||||
Uchumi kwa kipimo cha umma | $1,544 | ||||
Pesa | CFA frank (XFA) (Frank ya Afrika ya Kati) | ||||
Kaulimbiu | "Amani - Kazi - Taifa" | ||||
Wimbo wa Taifa | Ewe Kamerun, Mwanzo wa mababu wetu | ||||
![]() | |||||
Saa za Eneo | UTC +1 | ||||
Mtandao | .cm | ||||
Kodi ya Simu | +237 |
Jamhuri ya Kamerun (pia: Cameroon) ni jamhuri ya muungano katika Afrika ya Magharibi.
Imepakana na Nigeria, Chadi, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kongo, Gabon, Guinea ya Ikweta na Ghuba ya Guinea.
Lugha rasmi na lugha za taifa ni Kifaransa (kinachoongoza kwa zaidi ya asilimia 80) na Kiingereza.
JiografiaEdit
MitoEdit
MilimaEdit
Maeneo kiutawalaEdit
Kamerun imegawiwa katika mikoa 10 na wilaya (départements) 58.
Mikoa ni:
HistoriaEdit
Historia ya awaliEdit
Katika karne za BK Wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi walianza uenezi wao kutoka huko kwenda kutawala maeneo mengi ya Afrika ya Kati, Kusini mwa Afrika na Afrika Mashariki.
Wakati wa ukoloniEdit
Kamerun ilikuwa koloni la Ujerumani hadi Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Baada ya Ujerumani kushindwa vita, nchi ikagawiwa kati ya Uingereza na Ufaransa chini ya mamlaka ya Shirikisho la Mataifa kama eneo la kudhaminiwa.
Tangu uhuru hadi leoEdit
Mwaka wa 1960, Wafaransa waliacha Kamerun ikawa nchi huru, na kuungana na sehemu ya kusini ya Kamerun ya Kiingereza mwaka 1961 kuunda Shirikisho la Jamhuri ya Kamerun.
Baadaye jina likabadilishwa kuwa Jamhuri ya Muungano ya Kamerun mwaka wa 1972, halafu tena Jamhuri ya Kamerun (kwa Kifaransa République du Cameroun) mwaka wa 1984.
SiasaEdit
UchumiEdit
WatuEdit
Wakazi walikuwa 22,534,532 mwaka 2013, ambao wamegawanyika sawasawa kati ya wanaoishi mijini na wale wa vijijini.
Lugha rasmi ni Kifaransa pamoja na Kiingereza. Hata hivyo wakazi wanaongea pia lugha za makabila yao mengi.
Upande wa dini, 70% ni Wakristo (40% Wakatoliki na 30% Waprotestanti), 18% ni Waislamu, 3% ni wafuasi wa dini asilia za Kiafrika. 6% hawana dini yoyote.
UtamaduniEdit
ElimuEdit
Tazama piaEdit
- Ukristo nchini Kamerun
- Kanisa Katoliki nchini Kamerun
- Uislamu nchini Kamerun
- Mawasiliano nchini Kamerun
- Mambo ya kigeni ya Kamerun
- Orodha ya miji ya Kamerun
- Jeshi la Kamerun
- Usafirishaji nchini Kamerun
- Chama cha Wanaskauti Kamerun
- Orodha ya nchi kufuatana na wakazi
- Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu
- Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu
- Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa
- Demografia ya Afrika
Viungo vya njeEdit
Serikali
- Urais wa Nchi ya Kamerun Tovuti rasmi ya serikali
- Bunge ya Kamerun Archived Machi 14, 2008 at the Wayback Machine. Tovuti rasmi
Habari
- allAfrica - Cameroon viungo via habari
- CRTV - Cameroon Radio Television ya serikali
- The Post – Gazeti lenye sifa linalochapwa huko Buea
- (Kifaransa) Le Messager Gazeti la binafsi
- (Kifaransa) (Kiingereza)Radio Siantou
Elimu
Uchambuzi
- (Kiingereza)BBC News - Country Profile: Cameroon
- (Kiingereza) (Kitabu cha wadadisi wam marekani) - Cameroon
Makabila na koo
- Baka Pygmies of Cameroon Utamaduni na miziki ya watu wa Kamerun
- Anthropological researches in Cameroon Fieldwork among Cameroonian populations
- Bamileke, watu wa Kamerun
- Bakweri, watu wa Kamerun ya Kiingereza.
Miongozo
- CMCLICK Online! Cameroon Portal - Cameroon Cameroon Internet Community. Cameroon Business Directory. Cameroon Information. Cameroon Culture.
- Open Directory Project - Cameroon Archived Aprili 23, 2006 at the Wayback Machine. directory category
- Stanford University - Africa South of the Sahara: Cameroon Maelezo kuhusu Afrika, kusini kwa Sahara.
- University of Pennsylvania - African Studies Center: Cameroon directory category
- Yahoo! - Cameroon Archived Aprili 4, 2006 at the Wayback Machine. uelekezo, kamerun
Utalii
- Cameroon tourism Picha kuhusu utalii kamerun
- Cameroon In Colour Picha za Kamerun
Nchi za Afrika | |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira |
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kamerun kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |