Maeneo ya Kihistoria ya Kitaifa ya Tanzania

Maeneo ya Kihistoria ya Kitaifa ya Tanzania ni orodha kuu rasmi ya maeneo mbalimbali nchini Tanzania ambayo yameteuliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii ya Tanzania chini katika Kitengo cha Mambo ya Kale. [1] Orodha hii haijakamilika na inafanyiwa kazi kwa sasa.

Historia hariri

Historia ya Idara ya Mambo ya Kale na Maeneo ya Kihistoria ya Kitaifa iliundwa na mamlaka ya Waingereza katika eneo la Tanganyika mwaka 1937 kama Sheria ya Uhifadhi wa Maziara ya mwaka wa 1937. Ilipofika mwaka wa 1957, idara hiyo ilikabidhiwa kwa Wizara ya Elimu kama Kitengo cha Mambo ya Kale kilichozinduliwa na ofisi iliyopo Bagamoyo, mkoa wa Pwani. Ofisi ilihamishiwa rasmi kwenda Dar es Salaam mwaka 1960. Ulipofikia mwaka wa 1964, miaka mitatu baada ya uhuru wa taifa, Bunge la taifa la Tanzania lilipitisha Sheria ya Mambo ya Kale Na. 10 ya mwaka 1964 ili kuchukua nafasi ya Sheria ya Uhifadhi wa Makumbusho ya 1937. [2] Sheria ya 1964 ilirekebishwa mwaka wa 1979 na kuwekwa kwa Sheria ya Mambo ya Kale Na. 22 ya mwaka 1979, kisha hiyo nayo ikabadilishwa na Sheria ya Makumbusho ya Vitu Na. 13 ya mwaka 1981 ambao ndiyo sheria iliyomo mpaka leo. [3]

Orodha ya Maeneo ya Kihistoria ya Kitaifa hariri

Ifuatayo hapo chini ni orodha ya Maeneo ya Kihistoria ya Kitaifa ya nchi ya Tanzania. [4] Kuna tovuti za ziada kwa mikoa kwenye hii orodha. [5]

Mkoa wa Tanga hariri

Mkoa wa Arusha hariri

Mkoa wa Manyara hariri

Mkoa wa Kilimanjaro hariri

Mkoa wa Manyara hariri

Mkoa wa Pwani hariri

Mkoa wa Morogoro hariri

Mkoa wa Dodoma hariri

Mkoa wa Tabora hariri

Mkoa wa Mwanza hariri

  • Mwanza (Makazi ya Zama za Chuma)
  • Ngasamo (Makazi ya Zama za Mawe)

Mkoa wa Kigoma hariri

Mkoa wa Mbeya hariri

Mkoa wa Songwe hariri

Mkoa wa Rukwa hariri

  • Kala (Makazi ya Zama za Chuma)
  • Kirando (Makazi ya Zama za Chuma)

Mkoa wa Iringa hariri

Mkoa wa Lindi hariri

Mkoa wa Mtwara hariri

Mkoa wa Ruvuma hariri

Mkoa wa Kagera hariri

Mkoa wa Dar es Salaam hariri

Mkoa wa Unguja Kaskazini hariri

  • Tumbatu ((Makazi ya Waswahili wa Zama za Kati)

Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi hariri

Mkoa wa Unguja Kusini hariri

Mkoa wa Pemba Kusini hariri

Uongozi na Wizara hariri

Ifuatayo ni historia ya idara ya mambo ya kale nchini Tanzania; imekuwa chini ya uongozi wa watu wafuatao: [6]

*1957-1968: Neville Chittick, Mtunza

*1968-1981: Amin Aza Mutri, Mkurugenzi

*1981-1985: Simon S.A. Waane, Mkuu wa Sehemu

*1985-1997: Simon SA Waane, Mkurugenzi

*1997-2000: Donatius M.K. Kamamba, Ag Mkurugenzi

*2000-Hadi sasa: Donantius M.K. Kamamba, Mkurugenzi


Idara ya Mambo ya Kale ya Tanzania imekuwa chini ya wizara zifuatazo:

*1957-1962: Wizara ya Elimu

*1962-1964: Wizara ya Utamaduni wa Taifa na Vijana

*1964-1967: Ofisi ya Rais 1967-1968: Wizara ya Tawala za Mikoa *1968-1980: Wizara ya Elimu ya Taifa

*1980 -1984: Wizara ya Habari na Utamaduni

*1984-1999: Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Utamaduni, Vijana na Michezo

*1999–Sasa: Wizara ya Maliasili na Utalii.

Tanbihi hariri