Wendo wa ukomeshaji wa utumwa

Kukomeshwa kwa utumwa kulitokea kwa nyakati tofauti katika nchi tofauti. Utumwa ulipatikana katika jamii za Afrika, Amerika, Asia na Ulaya tangu nyakati za kale kwa viwango na taratibu tofauti. Tangu mwanzo wa historia ya kuandikwa kuna pia ushuhuda wa hatua za kuthibiti utumwa. Hatua za aina hiyo zilikuwa hasa sheria za kuzuia au kupakana utumwa wa wenyeji wa jamii yenyewe. , pamoja na ku. na kuweka taratibu za Ilitokea mara kwa mara mfululizo katika hatua zaidi ya moja - kwa mfano, kama kukomesha biashara ya watumwa katika nchi fulani, na kisha kukomesha utumwa katika milki zote. Kila hatua kawaida ilikuwa matokeo ya sheria tofauti au kitendo. Ratiba ya nyakati hii inaonyesha sheria za kukomesha au vitendo vilivyoorodheshwa kwa mpangilio. Pia inashughulikia kukomesha uhadimu .

Ingawa utumwa ni kinyume cha sheria katika nchi zote leo, hali zinazolingana na utumwa zinaendelea katika maeneo mengi ulimwenguni, haswa barani Afrika na Asia, mara nyingi kwa msaada wa serikali. [1]

Nyakati za kale

Wakati wa kale, jamii kadhaa huko Ulaya na Mashariki ya Kati zilidhibiti utumwa wa deni na utaratibu wa kufanana wa huduma ya deni (ambako mwia anaweza kudai kazi ya lazima kutoka kwa mdaiwa katika ulipaji wa deni lake; hapo mdaiwa hakuwa mtumwa rasmi na hakutazamiwa kama mali kamili, kama vile kumilikiwa daima, kuuzwa kwenye soko, au kuvuliwa jamii ).

Mabadiliko yaliyoorodheshwa hapa ni pamoja na sheria za Solon huko Athens, Lex Poetelia Papiria katika Jamhuri ya Roma, au kanuni zilizoainishwa katika Biblia ya Kiebrania katika Kitabu cha Kumbukumbu la Torati kwa ujumla zilidhibiti usambazaji wa watumwa na wahudumu wa deni kwa kukataza au kudhibiti utumwa wa vikundi fulani vyenye upendeleo (kwa hivyo, mageuzi ya Kirumi yalilinda raia wa Kirumi, mageuzi ya Athene yalilinda raia wa Athene, na sheria katika Kumbukumbu la Torati zilithibitisha uhuru kwa Mwebrania baada ya muda maalum wa huduma), lakini hakuna hata mmoja aliyekomesha utumwa kimsingi. Kanuni zote hazikuhusu wageni au wale wasiotazamiwa kuwa raia.

Tarehe Mamlaka Maelezo
Mapema karne ya sita KK Athens ya Kale Solon akianzisha sheria za Athens ya Kale anafutilia mbali utumwa wa deni kwa raia wa Athens na kuwaachilia huru raia wote wa Athens ambao hapo awali walikuwa watumwa. [2] [3] Utumwa uiendelea mjini Athens kwa kutumia watumwa wenye asili nje ya mji huo; mwisho wa utumwa wa deni wa Waathens na kupoteza chanzo cha kazi ya kulaimishwa unaaminiwa hata kuchochea utumwa kamili kuwa muhimu zaidi katika uchumi wa Athens tangu siku zile. [4]
Karne ya 3 KK Dola la Maurya Mfalme wa Uhindi Ashoka anafutilia mbali biashara ya watumwa na anahimiza watu kuwatendea watumwa vizuri. [5]
326 KK Jamhuri ya Kirumi Sheria ya "Lex Poetelia Papiria" inapiga marufuku mikataba ambako raia maskini wa Kiromi alikubali kungia katika utumwa wa deni kama angeshindwa kurudisha deni. Utumwa wa kawaida ulioruhusu wageni haukukomeshwa. tuma uliendelea katika Roma ya Kale kwa karne nyingi.
9–12 BK Nasaba ya Xin (China ya kale) Wang Mang aliyekuwa mfalme wa kwanza na wa pekee wa nasaba ya Xin, anaanzisha mfululizo wa mageuzi makubwa, pamoja na kukomesha utumwa na mfumo wa kumiliki ardhi kutoka 9-12 BK [6] [7] Walakini, mabadiliko ya kodi yalisababisha hasira ya watu. Alipinduliwa na kuuawa na utumwa ulirejeshwa mnamo 23 BK

Nyakati za Kati

NB: Marekebisho mengi yaliyoorodheshwa yalirudishwa nyuma katika karne zilizofuata.
Mwaka Eneo la mamlaka Maelezo
590–604 Roma Papa Gregori I anakataza Wayahudi wasimiliki watumwa Wakristo
Karnne ya 7 Francia Malkia Batilde, aliyewahi kuwa mtumwa, pamoja na Mtaguso wa Chalon-sur-Saône (644–655) wanalaani tenado la kuweka Wakriso utumwani. Balthild ananunua watumwa, hasa Wasaksoni, na kuwaweka huru.
741–752 Roma Papa Zakaria anapiga marufuku kuwauzia Waislamu watumwa Wakristo. Ananunua watumwa wote mjini na kuwaweka huru
840 Milki ya Wafaranki

Venezia
Pactum Lotharii: wafanyabiashara wa Venezia wanaahidi kutonunua tena watumwa Wakristo ndani ya milki, wala kuwauza kwa Waislamu. Wafanyabiashara wa Venezia wanabadilsha mtindo wao wakilenga sasa Waslavi wapagani kutoka Ulaya ya mashariki.
873 Ukristo Papa Yohane VIII anatangaza ni dhambi kufanya Wakristo kuwa watumwa, anaamuru wote wawekwe huru.[8]
~900 Miki ya Bizanti Kaizari Leo VI anapiga marufuku mikataba ya kujifanya kuwa mtumwa kwa hiari akitangaza mikataba yote ya aina hiyo kuwa batili; wote wanaokubali mikataba ya aina hiyo wadhibike kwa kiboko.
922 Milki ya Wafaranki Sinodi ya Koblenz inaamua kumfanya Mkristo kuw mtumwa na kumwuza ni sawa na kosa la mauaji[9]
956 Nasaba ya Goryeo (Korea) Mnamo mwaka 956 mtawala Gwangjong wa Goryeo anatangaza sheria kuhusu Watumwa na Ardhi alipoweka watumwa huru akilenga kupunguza uwezo wa makabaila waliotegemea watumwa.
960 Venezia (Italia) Doge (kiongozi) Pietro IV Candiano anapiga marufuku biashara ya watumwa mjini
1080 Uingereza William I anapiga marufuku kumwuza yeyote kwa "wapagani"
1100 Normandi hakuna watumwa tena
1102 Uingereza Baraza kuu ya London ibapiga marufuku biashara ya watumwa [10]
c. 1160 Norwei Sheria inakataza kuuza watumwa wa nyumbani nje ya nchi
1171 Eire Watumwa wote Waingereua nchini wanawekwa huru
1198 Ufaransa Shirika la Watrinitari wanaanzishwa kwa shabaha ya kununua uhuru wa waungwa wa vita za misalaba na wahanga wa maharamia Waislamu
1214 Korčula (Kroatia) Kanuni za mji zinabatilisha utumwa [11]
1218 Aragon Shirika la Wamersedari linaanzishwa mjini Barcelona kwa shabaha ya kununua uhuru wa Wakristo waliokuwa watumwa katika nchi za Waislamu
~1220 Dola Takatifu la Kiroma Kanuni za Wasaksoni (Sachsenspiegel) zinapiga marufuku utumwa kwa kuuita uvunjaji wa hali ya binadamu kuumbwa kwa sura ya Mungu [12]
1245 Aragon Mfalme Yakobo I anakataza wayahudi wasimiliki watumwa Wakristo lakini anawaruhusu kuwa na watumwa Waislamu na wapagani
1256 Bologna (Italia) Kanuni za mji (Liber Paradisus) zinabatilisha utumwa halisi na pia utwana , watwana wote ndani ya eneo la mji wanawekwa huru
1274   Norwei Sheria ya nchi (Landslov) inataja "waliokuwa watumwa" pekee, ikidokeza utumwa umeshafutwa katika ufalme wa Norwei
1315   Ufaransa Louis X anatoa amri ya kukomesha utumwa akitangaza kuwa "Ufaransa inamaanisha uhuru" (maana ya kiasili ya jina "Wafaranki" ni "walio huru") na kwmaba kila mtumwa anayefika Ufaransa anapewe uhuru wake. [13] Hata hivyo kua mifano kadhaa ya utumwa hadi karne ya 17 katika mabandari ya Ufaransa kwenye Bahari Mediteranea, halafu uchumi wa utumwakwenye koloni za Ufaransa.[14] Most aspects of serfdom are also eliminated de facto between 1315 and 1318.[15]
1318   Ufaransa Mfalme Philip V anafuta utumwa katika ufalme wake.[16]
1335   Uswidi Utumwa unakomeshwa pamoja na maeeo ya Ufini. Lakini watumwa waliweza kuingizwa nchini hadi mwaka 1813.[17] Wakati wa karne za 18 na 19, tumwa uipatikana katika koloni ndogo za Uswidi huko Saint Barth kweny Bahari ya Karibi.
1347 Poland Kanuni za Kasimir Mkuu anatangaza kanuni za kweka huru watuwa wote.[18]
1368 Nasaba ya Ming (China) Kaizari Hongwu anatangaza kufutwa kwa utumwa,[6] lakini unaendelea kote China. Watawala wanaofuata wanajaribu kudhibiti utumwa kwa sheria inayoweka mpaka kwa idadi ya watumwa wanaoruhusiwa kwa nyumba moja na kutoza wenye watumwa kodi kali .[19]
1416 Mji wa Ragusa Utumwa na biashara yake kupigwa marufuku
1423 Poland Mfalme anaamuru kuweka watumwa Wakristo huru.[20]
1435 Visiwa vya Kanari Papa Eugenio IV anakataza kufanya watumwa wenyeji wa Visiwa vya Kanari.[21]
1441   Ureno Watumwa wa kwanza waliokamatwa katika Afrika ya Magharibi wanafika Ureno
1477 Kastilia

(Hispania)

Malkia Isabella I anakataza utumwa katika maeneo yanayotwaliwa katika vita
1480   Galicia (Hispania) Utwana uliopo bado unakomeshwa na wafalme
1493 Kastilia (Hispania) Malkia Isabella inakataza utumwa kwa wenyeji (Waindio) katika maeneo mapya yaliyofikiwa na Kolumbus, isipokuwa wale wanaopiga vita dhidi ya Wahispania au wanaokula binadamu. Wenyeji wa Amerika watazamiwe kama raia wa ufalme. Anamkataza Kolumbus kuuza Waindio aliowahi kukamata na kupeleka Hispania. Waliouzwa tayari wanatafutwa na kupewa uhuru.

1500-1700 (Mwanzo wa Nyakati za Kisasa)

Tarehe Eneo la mamlaka Maelezo
1512   Hispania Sheria za Burgos zinaunda mfumo wa enconomienda kwa ajili ya Waindio huko Amerika ambao inalenga kuwalinda lakini hali halisi unaanzisha utaratibu wa kazi ya kulazimishwa. Waindio wengi kwenye Visiwa vya Karibi wanakufa kutokana na hali mbaya katika kazi ya kulazimishwa.
1518   Hispania na koloni zake Mfalme Karolo V anaanzisha sheria ya kutafuta watumwa katika Afrika kwa nia ya kulinda Waindio na kuzuia utumwa wao
1528 Karolo V anakataza kupeleka Waindio hadi Ulaya, kwa shabaha ya kuzuia utumwa wao. Encomienda zinakatazwa kupokea dhahabu kama michango ya wenyeji kutokana na taarifa kwamba Waindo wameuza watoto wao ili kupata dhahabu kwa malipo hayo.
1530 Utumwa wa kawaida wa Waindio unakataliwa kisheria. Lakini kazi ya kulazimishwa inaendelea katika mfumo wa enconomienda.
1537 Amerika Papa Paulo III anakataza utumwa wa watu wazalendo wa Amerika na watu wengine katika maeneo yatakayogunduliwa na mataifa ya kikatoliki, akisisitiza haki yao ya kuwa huru na kuwa na mali yao (Sublimis Deus).[22]
1542   Hispania na koloni zake Sheria Mpya zinakataza kuwakamata Wandio kuwa watumwa. Lakini zinaunda mfumo tofauti ya kazi ya kuzalimishwa kwa jina la "repartimiento". Utumwa wa Waafrika unaendelea.[14] Mfumo wa enconomienda unapewa masharti ya nyongeza ya kupunguza unyonyaji ya wenyeji.
1549 Enconomienda zinakataliwa kutumia kazi ya kulazimishwa.
1550-1551 Mjini Valladolid (Hispania) kuna majadiliano ya hadhara kuhusu haki za wazalendo wa Amerika.
1552 Bartolomé de las Casas anachapisha kitabu chake "Taarifa fupi ya uharibifu wa Hindi" (Brevísima relación de la destrucción de las Indias, Kiing. Short Account of the Destruction of the Indies) ambako anaonyesha wazi kiasi cha madhulumu ya wenyeji chini ya Wahspania akidai mwisho wa utumwa.
1570   Ureno Mfalme Sebastian wa Ureno anakataza utumwa wa Waindio chini ya utawala wa Kireno, akiruhusu kuwafanya watumwa hao wanaopinga utawala wa Ureno. Sheria hiyo inaathiriwa na mapadre Wajesuiti waliokuwa na wamisionari kati ya makabila ya Waindio wa Brazil.
1574   Uingereza Wahadimu wa mwisho wa Uingereza wanapewa uhuru na malkia Elizabeth I.[15]
1590
 
Japani
Utumwa unapigwa marufuku isipokuwa kama adhabu ya wahalifu.
1595   Ureno Utumwa wa Wachina unakataliwa.[23]
1609   Spain Waislamu wa awali (Morisco), wengi wao walio mahadimu, wanafukuzwa kutoka Rasi ya Iberia isipokuwa wal

kikubali kuwa watumwa (wakijulikana kama moros cortados). Hata hvyo, wengi wao wanafaulu kuepukana na kufukuzwa au wakifaulu kurudi.

1624   Portugal Utumwa wa Wachina unakataliwa.[24][25]
1649   Urusi Kuuza watumwa Warusi kwa Waislamu kunakataliwa.
1652   Mashamba wa Rhode Island, Marekani Roger Williams na Samuel Gorton wanashughulika kuunda sheria inayobatilisha utumwa. Sheria haifaulu.
1677   Milki ya Maratha, Uhindi Chhatrapati Shivaji Maharaj anabatlisha utumwa, akiweka huru watumwa wote katika milki yake.
1679
 
Urusi
Feodor III anabadilisha hali ya watumwa Warusi wote kuwa mahadimu.
1683   Chile ya Kihispania Utumwa wa mateka Wamapuche unafutwa.[26]
1687   Florida ya Kihispania Watumwa watoro kutoka koloni za Uingereza katika Amerika ya Kaskazini hupewa uhuru wakigeukia ukatoliki na kukubali huduma ya kijeshi kwa miaka minne.
1688   Pennsylvania Makweka wa Germantown hufanya azimio dhidi ya utumwa wa Waafrika, wakiwa wa kwanza katika maeneo yanayoendelea Marekani.

1701-1799 (Nyakati za kisasa)

Tarehe Mamlaka Maelezo
1703   Milki ya Osmani Mfuko wa devshirme (kutoa watoto Wakristo kutoka familia zao na kuwafanya Waislamu na wanajeshi) unakwisha.
1706   Uingereza Katika kesi Smith v. Browne & Cooper Sir John Holt, Jaji Mkuu wa Uingereza, anatoa hukumu inayosema "mara Mwafrika (negro) anafika kwenye ardhi ya Uingereza, atakuwa huru."
1711-1712   Imereti Mtawala Mamia I wa Imereti anakataza biashara ya watumwa.
1712   Hispania Watumwa waliowahi kuwa Waislamu wanafukuzwa Hispania
1723   Urusi Peter I wa Urusi anafika kwamba watumwa wore watakuwa wahadimu. Hali halisi utumwa kamili unafutwa Urusi.
1723–1730   Nasaba ya Qing (China) Mfalme anafuta utumwa akilenga kudhoofisha familia za wakubwa;watumwa wengi ni watu huru; hata hivyo nanna ya utumwa inaendelea hadi karne ya 20.[19]
1732   Jimbo la Kiingereza la Georgia (Amerika Kaskazini) Kuanzishwa kwa Jimbo la Georgia katika Amerika Kaskazini linakubaliwa na Uingereza bila haki ya kutumia watumwa Waafrika, tofauti na jimbo jirani la Carolina. Mwaka 1738 James Oglethorpe anaonya kanuni hiyo isibadilishwe, maana "italeta madhara kwa maelfu huko Afrika." Lakini utumwa wa Waindio ni halali. Utumwa wa Waafrika inakubaliwa kwa Georgia mwaka 1749.
1738   Florida ya Kihispania Hispania inakubali kuundwa kwa Fort Mose kama mji wa kwanza wa watumwa watoro Waafrika waliopata uhuru katika Afrika ya Kaskazini; habari zake zinahimiza uasi wa watumwa weusi katika Jimbo la Kiingereza la Carolina.
1761   Ureno Serikali inakataza kuingiza watumwa katika Ureno bara.
1766   Hispania Muhammad III wa Moroko ananunua uhuru wa watumwa wote Waislamu katika miji ya Sevilla, Cádiz, na Barcelona (Hispania).
1772   Uingereza Hukumu katika Kesi ya Somersett inaamua kwamba mtu aliyepelekwa kama mtumwa Uingereza, ambako anastahili kuwa huru, hawezi kulazimishwa kurudi katika koloni ambako atakuwa mtumwa tena. Tokeo la hukumu ilikuwa uhuru wa watumwa wengi waliowahi kupelekwa hapa na mabwana yao kama watumishi wa nyumbani kutoka koloni.
1773   Ureno Amri mpya ya kifalme inatangaza uhuru wa watumwa wote wa kizazi cha nne na uhuru wa kila mtoto aliyezaliwa na mama aliye mtumwa tangu kutangazwa kwa amri.
1774   Kampuni ya Kiingereza kwa Uhindi ya Mashariki Serikali ya kampuni katika Bengali inatoa sheria kuwa hairuhusiwi tena kuuza watumwa bila hati rasmi, pia hairuhusiwi tena kumwuza yeyote asiye mtumwa rasmi tayari kwenye tarahe ya sheria[27]
1775   Jimbo la Virginia Jenerali Mwingereza Dunmore anaahidi uhuru kwa watumwa wote wanaoondoka upande wa wanamapinduzi wa Marekani na kujiunga na jeshi la Kiingereza.
  Pennsylvania Shirika la kukomesha utumwa linaanzishwa mjini Philadelphia ambayo ni shirika la kwanza lenye shabaha hilo katika maeneo ya Marekani.
  Marekani Majimbo ya Marekani yako kwenye vita ya uhuru dhidi ya Uingereza na kwa wakati huu yanasimamisha biashara ya watumwa kupitia Atlantiki. Kusudi lake ni kuzuia aina yote ya biashara na Uingereza wakati wa vita.[28]
1777   Madeira Utumwa unakomeshwa visiwani.
  Vermont (Marekani) Katiba ya jimbo la Vermont (Marekani) inakomesha utumwa kisehemu; wanaume walio juu ya miaka 21 na wanawake walio juu ya umri wa miaka 18 wakati wa kutangazwa kwa katiba wanapata uhuru.[29] Kanuni hiyo haifuatiliwi kwa nguvu na serikali.[30]
1778   Uskoti Mtumwa Mwafrika Joseph Knight anashinda kesi yake kwenye mahakama kwamba sheria za Uskoti hazikubali utumwa. (isipokuwa wakati ule sehemu ya wafanyakazi wazalendo kwenye migodi ya makaa na chuvi walikuwa bado na hali ya watumwa kisheria)[31]
1779   Amerika ya Kaskazini ya Kiingereza Wakati wa vita ya uhuru wa Marekani, Uingereza inatangaza uhuru wa watumwa wote wanatoroka upande wa waasi wamarekani na kuhamia upande wa Uingereza, hata wasio tayari kujiunga na jeshi
1780   Pennsylvania Sheria kuhusu hatua za kukomesha utuwamwa (Act for the Gradual Abolition of Slavery) inapitishwa inayoweka watoto huru watakaozaliwa na wazazi watumwa baada ya kutnagazwa kwa sheria. Waliowahi kuwa watumwa wanabaki vile. Watumwa wa mwisho wa Pennsylvania wanapata uhuru mwaka 1847.
1783   Urusi Baada ya kuvamia na kuteka Krimea, serikali ya Urusi inakomesha utumwa huko.[32]
  Massachusetts Mahakama Kuu ya Jimbo la Massachusetts inaamua utumwa haulingani na katiba ya jimbo ya 1780. Watumwa wote wanawekwa huru mara moja.
  Dola Takatifu la Kiroma Kaizari Joseph II anakomesha utumwa katika mkoa wa Bukovina.
  New Hampshire Jimbo hili la Marekani inaanza kukomesha utumwa kwa hatua.
1784   Connecticut Jimbo hili la Marekani inaanza kukomesha utumwa kwa hatua, likianza kuweka huru watoto wa watmwa wa sasa, na hatua kwa hatua watumwa wengine baadaye.
  Rhode Island Jimbo hili la Marekani inaanza kukomesha utumwa kwa hatua.
1788   New South Wales, Australia Gavana wa kwanza anatangaza koloni mpya haitakuwa na watumwa.
1787   Marekani Bunge la Muungano wa Madola ya Amerika (Marekani) linapitisha sheria inayokataza utumwa katika maeneno mapya kwenye maeneo ng'ambo ya mito Ohio na Missisippi (majimbo ya baadaye ya Ohio, Indiana, Illinois, Michigan, Wisconsin na sehemu za Minnesota)
  Sierra Leone Sierra Leona inaanzishwa kama koloni kwa watumwa waliopewa uhuru.[33]
  Ufalme wa Muungano Shirika la ukomeshaji wa biashara ya watuwa linaanzishwa katika Uingereza.
1788 Sheria ya kwanza ya Kiingereza inayojaribu kudhibiti hali ya watumwa kwenye meli zinazowabeba.
  Ufalme wa Ufaransa Shirika la Marafiki wa Watu Weusi linaanzishwa mjini Paris kwa shabaha ya kukomesha utumwa.
  Denmark Mfumo wa uhadimu unalegzwa - wahadimu chini ya umri wa miaka 14 hawana masharti tena.
1789   Ufalme wa Ufaransa Mabaki ya uhadimu yanaondolewa katika hatua za kwanza ya Mapinduzi ya Kifaransa[34]
1791   Poland-Lithuania Katiba ya Poland-Lithuania inaongeza usawa baina ya raia wa miji na makabaila; uhadimu wa wakulima unapungua.
1791   Ufaransa Baada ya mapinduzi bunge la Ufaransa linatangaza uhuru kwa watumwa wa kizazi cha pili katika koloni.
1792   Denmark Mfalme wa Denmark iliyo na koloni katika Bahari Karibi anatangaza kukomeshwa kwa biashara ya watumwa kuanzia mwaka 1803. Hata hivyo, utumwa unandelea hadi 1848 kwenye koloni zake.[35]
1792   Saint Helena Kupeleka watumwa wapya kwenye kisiwa cha St. Helena kunapigwa marufuku; utumwa unaendelea kwa miongo kadhaa; kuanzia mwaka 1818 watoto wa watumwa wanapewa uhuru, katika miaka 1827 - 1834 watumwa wote wanapata uhuru hatua kwa hatua. [36].
1793   Saint-Domingue Leger-Felicite Sonthonax, kamishna wa serikali ya mapinduzi ya Ufaransa (Comité de salut public) anatangaza mwisho wa utumwa kwenye sehemu ya kaskazini ya Saint Domingue (Haiti ya baadaye); kamishna mwenzake kwenye kusini ya koloni anafuata.
  Kanada "Sheria dhidi ya Utumwa" inapiga marufuku uingizwaji wa watumwa
1794   Ufaransa Jamhuri ya Kifaransa inatangaza mwisho wa utumwa katika maeneo yote chini ya mamlaka yake, pamoja na koloni zake.[37]
  Marekani Sheria kuhusu Biashara ya Watumwa (Slave Trade Act) inakataza meli zote za Marekani kubeba watumwa tena; hairihusiwi kupeleka watumwa nje ya Marekani kwenye meli za kigeni.
  Poland-Lithuania}} Baada ya uasi wa wakulima katika mashariki ya Poland, wahadimu wote (waliokuwa sehemu kubwa ya wakulima kwa jumla) wanapewa uhuru.
1798   Malta chini ya Ufaransa Utumwa unakomeshwa na jeshi la Kifaransa baada ya uvamizi wa Malta.[38]
1799   New York Sheria inapanga hatua za kukomesha utumwa, ikianza na watato wanaozaliwa kuanzia mwaka huu; hadi 1827 watumwa wote katika Jimbo la New York wanapata uhuru.[39]
  Uskoti Sheria ya 1799 inaondoa hali ya utumwa au uhadimu wa wachimbaji wa makaa na chumvi uliokuwepo tangu mwaka 1606.

1800-1829

Tarehe Eneo la mamlaka Maelezo
1800   Korea, ufalme wa Joseon Watumwa na wahadimu wa serikali wanapata uhuru; utumwa wa binafsi unaendelea hadi mnamo 1894.
1800   Marekani Sheria kuhusu Biashara ya Watumwa inakataza raia wa Marekani wasishiriki katika biashari hiyo kimataifa; hali ya utumwa kufuanatana na sheria za majimbo mbalimbali za Marekani haibadilishwi.
1802   Ufaransa Napoleon anarudisha utumwa katika koloni za Ufaransa zinazozalisha sukari.
  Ohio Katiba ya jimbo linabatilisha utumwa.
1803   Denmark Abolition of Danish participation in the transatlantic slave trade takes effect on January 1.
1804   New Jersey (Marekani) Jimbo linakomesha utumwa kisheria.
  Haiti Haiti inatangaza uhuru wake baada ya mapinduzi ya watumwa na kukomesha utumwa.
1804–1813   Serbia Katika sehemu za Serbia zinazopigania uhuru kutoka Milki ya Osmani watumwa wanapewa uhuru.
1807   Marekani "Sheria kuhusu uingizaji wa watumwa" inapiga marufuku kuingiza watumwa Marekani kutoka nje kuanzia 1 Januari 1808; sheria zinazohusu utumwa katika majimbo mbalimbali za Marekani haziathiriwi.[40]
  Ufalme wa Muungano Sheria kuhusu ukomeshaji wa biashara ya watumwa inakataza kufanya biashara ya watumwa kati ya Afrika, Aerika na maeneo ya Milki ya Uingereza. Nahodha ya meli atalipa faini ya pauni 120 kwa kila mtumwa anayembeba. Kundi la manowari la Afrika Magharibi linaanzishwa kwa shabaha ya kukomesha biashara ya watumwa; hadi 1865 linaweka huru watumwa 150,000.[41]
  Poland Utemi wa Warsaw Katiba inafuta uhadimu.[42]
  Prussia, Ujerumani Baada ya kushindwa kwenye vita dhidi ya Napoleoni Prussia inafuta uhadimu.[42]
  Marekani Michigan Jaji Augustus Woodward hakubali kurudishwa kwa watumwa wawili waliokuwa mali ya mkazi wa Kanada. Katika hukumu yake jaji alisema kwamba mtu yeyote "anayeingia katika eneo hili kisheria ni mtu huru". [43]
1810   Hispania Mpya (Mexiko) Wakati wa vita ya uhuru ya Mexico kiongozi wake Miguel Hidalgo y Costilla anatangaza uhuru kwa watumwa.
1811   U Adhabu za biashara ya watumwa zinaongezwa kwa raia za Ungereza na pia wageni.
  Hispania Bunge linafuta haki za makabaila juu ya wahadimu wa awali.[44]
  Kampuni ya Kiingereza kwa Uhindi ya Mashariki Kampuni inakataza kuingiza watumwa katika maeneo yaliyo chini yake, ikiongeza sheria zake za 1774.[27]
  Chile Bunge la kwanza la Chile linatangaza "Uhuru wa tumbo la uzazi", hiyo kuweka huru watoto wa watumwa wakizaliwa kwenye eneo la Chile; biashara ya watumwa inapigwa marufuku, na mtumwa anayekaa miezi sita katika Chile atakuwa mtu huru.
1812   Hispania Bunge la Hispania linakubali Katiba ya 1812, ambako wakazi wote wanapewa uraia na haki katika Hispania na koloni zale, isipokuwa watumwa. Kufutwa kwa utumwa unadaiwa na sehemu ya wabunga lakini haukubaliwi.
1813   Hispania Mpya (Mexiko) Kiongozi wa uhuru José María Morelos y Pavón anatangaza mwisho wa utumwa.
  Majimbo ya Rio de la Plata (baada ya uhuru kutoka Hispania) Bunge la majimbo (baadaye nchi za Argentina, Uruguay na Bolivia) linatangaza uhuru wa watoto wa watumwa wanaozaliwa baada ya 1813 watakapofika umri wa miaka 20 (wanaume) au 16 (wanawake).[45]
1814   Majimbo ya Rio de la Plata (Uruguay) Watumwa wote katika sehemu za Uruguay hupewa uhuru
  Uholanzi Uholanzi inakataza biashara ya watumwa.
Ufaransa Mfalme Louis XVIII wa Ufaransa inakubali katika mkataba wa amani na Uingereza kumaliza biashara ya watumwa katika muda wa miaka 5[46]
1815 Ufaransa Napoleon aliyerudi Paris kutoka uhamisho wa Elba anatangaza mwisho wa biashara ya watumwa, akifanya jaribio la kuonyesha uso mpya wa utawala wake. [47]
  Ureno Slave trade banned north of the Equator in return for a £750,000 payment by Britain.
  Florida ya Kihispania Baada ya Vita ya Uingereza dhidi Marekani ya 812, jeshi la Kiingereza linaacha ngome pamoja na silaha nyingi mkononi mwa watumwa watoro wanaoishika hadi kutekwa na jeshi la Marekanimwaka 1816.
  Ufalme wa Muungano
  Ureno
  Uswidi-Norwei
  Ufalme wa Ufaransa

  Austria
  Urusi
  Hispania

  Prussia, Ujerumani
Mkutano wa Vienna unatangaza nia ya kukomesha biashara ya watumwa.[48]
1816   Estonia ya Kirusi Uhadimu unakomeshwa na gavana wa jimbo.
  Algeria ya Kiosmani Manowari za Uingereza na Denmark zinapiga mji wa Algiers kwa shabaha ya kudhibiti biashara ya utumwa ya Afrika Kaskazini na kumlazimisha Dey wa Algiers kuacha watumwa 3000.
1817   Kurland ya Kirusi Uhadimu unakomeshwa.
  Ufalme wa Muungano
  Hispania
Uingereza inahimiza Hispania kukubali mkataba wa kukomesha biashara ya watumwa.[49]
  Hispania Baada ya kupokea malipo kutoka Uingereza, Mfalme Ferdinand VII anatoa amri ya kukataza uingizaji wa watumwa katika koloni za Hispania kuanzia mwaka 1820. Utumwa mwenyewe na biashara ya ndani ya eneo havikataliwi. Magendo ya watumwa yanaendelea.
  Venezuela Simon Bolivar (kiongozi wa uhuru wa Amerika Kusini) anadai mwisho wa utumwa.[44]
  Jimbo la New York , Marekani Sheria inaweka siku ya 4 Julai 1827 kama tarehe ambako uhadimu wa watumwa wa awali utakwisha.[50]
  Majimbo ya Rio Plata Katiba inataja nia ya kuagana na utumwa, bila kuukomesha.
1818   Ufalme wa Muungano

  Ureno
Uingereza inahimiza Ureno kukubali mkataba wa kukomesha biashara ya watumwa.
  Ufaransa Biashara ya watumwa inapigwa marufuku, ingaw inaendelea katika koloni.
  Ufalme wa Muungano

  Uholanzi
Uingereza inahimiza Uholanzi kubali mkataba kuhusu hatua za ziada za kutekeleza ukomeshaji wa biashara ya watumwa ulioahahiwa tangu 1814.[51]
1819   Livonia Uhadimu unakomeshwa.
  Kanada ya Juu Wakazi wote weusi hutangazwa kuwa watu huru katika jimbo hilo.
  Hawaii Mgawanyo katika jamii ya Hawaii katika matabaka ya watumwa na watu huru unakomeshwa.[52]
1820   Marekani Maafikiano kati ya majimbo ya kaskazini na kusini unakataza kwa upande mmoja utumwa upande wa kaskazini wa mstari wa latitudo ya 36º 30' na kuuruhusu upande wa kusini; kwa upande mwingine Sheria kuhusu Biashara ya Marekani inabadilishwa kwa kutaja biashara ya watumwa kama tendo la uharamia na kuiadhibu kwa adhabu ya mauti.
  Indiana, Marekani Mahakama Kuu ya jimbo linaagiza karibu watumwa wote jimboni wanapaswa kupewa uhuru wao.
  Hispania Biashara ya watumwa ni jinai kuanzia sasa kulingana na mapatano ya 1817.[53]
1821   Mexiko Tangazo la wanamapinduzi wa Mexico katika vita ya uhuru dhidi ya Hispania inaweka watumwa wote huru waliozaliwa Mexiko[54].
  Peru Peru inakataza biashara ya watumwa na kuanza kukomesha utumwa polepoe hatua kwa hatua.[55]
  Kolombia Kubwa Uhuru kwa watoto wa watumwa wanawake, mradi wa kufidia mabwana unaanzishwa.[56]
1822   Haiti Jean Pierre Boyer kutoka Haiti anavamia upande wa Kihispania wa kisiwa cha Hispaniola na kukomesha utumwa pia upande ule.
  Ufalme wa Muungano
  Ufalme wa Ufaransa
  Austria
  Urusi
  Prussia, Ujerumani
Wanaoshiriki kwenye Mkutano wa Verona wanathibitisha nia yao kukomesha biashara ya watumwa.[57]
  Liberia Liberia inaanzishwa kama koloni kwa ajili ya watumwa kutoka Marekani waliopata uhuru wao.
  Oman

  Ufalme wa Muungano
Uingereza inahimiza Sultani wa Oman kukubali biashara ya watumwa huko Zanzibar; hata hivyo biashara ya magendo inaendelea, pamoja na biashara ya watumwa kati ya bara na Zanzibar.
1823   Chile Utumwa unakomeshwa.
  Ufalme wa Muungano The Society for the Mitigation and Gradual Abolition of Slavery Throughout the British Dominions (Anti-Slavery Society) is founded.
  Ugiriki Katiba ya Ugiriki inayotungwa wakati wa vita ya uhuru dhidi ya Milki ya Osmani inakataza utumwa .[58]
1824   Mexico Katiba mpya inakomesha utumwa.
  Amerika ya Kati Utumwa unakomeshwa.
1825   Uruguay Uingizaji wa watumwa unakatazwa.
  Haiti Ufaransa inatuma manowari Haiti na kulazimisha serikali yake kukubali kulipa fidia kwa kupoteza koloni yake na kupoteaza watumwa
1827   Ufalme wa Muungano

  Uswidi-Norwei
Mkataba wa pamoja unakomesha biashara ya watumwa katika maeneo yake
  Jimbo la New York , Marekani Mabaki ya utumwa yanafutwa; watoto wa watumwa waliozaliwa kati ya 1799 na 1827 sasa ni wahadimu hadi kufikia umri wa miaka 25 (wanawake) au 28 (wanaume).[59]
  Saint Helena (Uingereza) Watumwa 800 wakazi wa kisiwa wanapewa uhuru kihatua.
1829   Mexico Uhuru wa watumwa wa mwisho unatangazwa.

1830-1849

Date Jurisdiction Description
1830   Coahuila y Tejas (Texas ya Kimexiko) Walowezi Wamarekani katika Texas ya Kimexiko wanatangaza watumwa wao kuwa wahadiumu kwa miaka 99, baada ya serikali kuu ya Mexiko kutangaza uhuru wa watumwa wote. Swali la utumwa linahamasisha walowezi hao kufanya mipango ya kujitenga na Mexiko.[60]
1830   Uruguay Utumwa unakomeshwa.
  Milki ya Osmani Sultani Mahmud II anatoa amri ya kuweka huru watumwa wote Wazungu
1831   Bolivia Utumwa unakomeshwa.
  Brazil Sheria ya 7 Novemba 1831 inapiga marufuku biashara ya watumwa kupitia bahari na kuingiza watumwa ndani ya nchi kutoka nje. Watumwa waliopelekwa nchini kinyume cha sheria wanapewa uhuru. Sheria hiyo haitekelezwi kabla ya mwaka 1850 ambako Uingereza inaongeza shinikizo dhidi ya serikali.
1832   Ugiriki Utumwa unakomeshwa baada ya uhuru kutoka Milki ya Osmani.
1834   Ufalme wa Muungano Sheria ya Kukomesha Utumwa (Slavery Abolition Act) ya 1833 inafuta utumwa hatua kwa hatua (katika muda wa miaka 6) kote katika Milki ya Uingereza pamoja na koloni zake, isipokuwa katikia maeneo ya Kampuni ya Kiingereza kwa Uhindi ya Mashariki na Ceylon.[61] Watumwa 700,000 kwenye Visiwa vya Karibi, 20,000 katika Morisi na 40,000 katika Afrika Kusini wanapata uhuru.
  Ufaransa Shirika la Kifaransa kwa Ukomeshaji wa Utumwa inaundwa mjini Paris.
1835   Serbia Kila mtumwa anayefikia Serbia anapata uhuru wake.[62]
  Ufalme wa Muungano

  Ufaransa
Mikataba kati ya Ufalme wa Muungano (Uingereza) na serikali za Ufaransa na Denmark inamaliza rasmi biashara ya watumwa ya nchi hizo.
  Ufalme wa Muungano

  Denmark
  Peru Raisi wa Peru anaruhusu tena kuingiza watumwa kutoka nchi nyingine za Amerika Kusini. Sentensi "Hakuna mtumwa anayefika Peru bila kupewa uhuru wake" inaondolewa katima katiba.
1836   Portugal Serikali inakataza biashara ya watumwa ya kuvukia Atlantiki pamoja na kuchukua watumwa kutoka koloni za Ureno zilizopo upande wa kusini mkwa ikweta.
  Texas Utumwa unaruhusiwa tena baada ya uhuru wa Texas.
1837   Hispania Utumwa unakomeshwa nje ya koloni ambako unaendelea.
1838   Ufalme wa Muungano Hatimaye watumwa wote kwenye koloni wanapata uhuru baada ya kipindi cha miaka 6 tangu 1933 walipokuwa wahadimu.
1839   Ufalme wa Muungano Shirika ya Kukomesha Utumwa ya Uingereza na Ng'ambo (British and Foreign Anti-Slavery Society, leo hii Anti-Slavery International) inaanzishwa.
  Kampuni ya Kiingereza kwa Uhindi ya Mashariki Mfumo wa uhadimu wa Uhindi unafutwa katika maeneo chini ya Kampuni ya Kiingereza kwa Uhindi ya Mashariki lakioni unarudishwa mwaka 1842.
  Kanisa Katoliki Papa Gregory XVI anatunga waraka la In supremo apostolatus linaloshutumu utumwa.
1840   Ufalme wa Muungano

  Venezuela
Mkataba baina ya nchi unakomesha biasharay a watumwa.
  Ufalme wa Muungano Kongamano la Kimataifa la Kwanza la Kupinga Utumwa linakutana mjini London.
  New Zealand Mkataba wa Waitangi unakataza kukamatwa kwa watumwa jinsi ilivyokuwa desturi kati ya Wamaori.[63]
1841   Ufalme wa Muungano

  Ufaransa

  Urusi

 Prussia

  Austria
Mkataba wa nchi hizo tano wa kukomesha biashara ya watumwa.
  Marekani Kesi ya United States v. The Amistad inafanya hukumu kwamba wafungwa Waafrika kwenye jahazi La Amistad hawakuwa watumwa kihalali na hivyo waliruhusiwa kupigana na hao waliowateka kwa namna yoyote.
1842   Ufalme wa Muungano

  Ureno
Mkataba kati ya nchi hizo unaimarish the slave trade ban to Portuguese ships south of the Equator.
  Paraguay Sheria inapitishwa kuhusu ukomeshaji wa utumwa hatua kwa hatua.
1843   Kampuni ya Kiingereza kwa Uhindi ya Mashariki Sheria kuhusu utumwa wa Kihindi ya 1843 inafuta utumwa katika maeneo yaliyo chini ya kampuni.
  Ufalme wa Muungano

  Uruguay
Mikataba kati ya Uingereza na nchi hizo zinakomesha biashara ya watumwa
  Ufalme wa Muungano
  Mexiko
  Ufalme wa Muungano
  Chile
  Ufalme wa Muungano
  Bolivia
1844   Moldavia Utumwa unakomeshwa.
1845   Ufalme wa Muungano Manowari 36 zinapangwa katika Kundi la manowari la Afrika Magharibi kwa kuzuia biashara ya watumwa ambalo liko sasa kati ya majeshi makubwa ya majini duniani.
  Illinois Mahakama Kuu ya Illinois inaweka huru wahadimu wa mwisho.[64]
1846   Tunisia Utumwa unakomeshwa.[65]
1847   Milki ya Osmani Biashara ya watumwa kutoka Afrika inakomeshwa.[66]
  Saint Barth Kwenye kisiwa hicha katika Karibi ambacho ni koloni ya Uswidi, watumwa wa mwisho wanapewa uhuru.
  Pennsylvania (Marekani) Wahadimu wa mwisho (watumwa wa awali) wanapata uhuru wao.
  Visiwa vya Denmark katika Karibi Amri ya mfalme inaagiza uhuru wa watoto wa watumwa na mwisho wa utumwa wote baada ya miaka 12.
1848   Austria Uhadimu unakomeshwa.[67][68][69]
  Ufaransa Utumwa unakomeshwa kwenye koloni. Gabon inaanzishwa kama koloni na makazi kwa watumwa waliowekwa huru.
  Visiwa vya Denmark katika Karibi Gavana wa koloni ya St. Croix anatangaza uhuru kwa watumwa wote akilenga kumaliza uasi wao. Anaitwa kurudi nyumbani na kupelekwa mbele ya mahakama lakini mashatki hayaendelezwi.
  Denmark Mabaki ya uhadimu yanakomeshwa.
  Ufalme wa Muungano
  Muscat na Omani
Mikataba kati ya Uingereza na nchi hizo zinalenga kukomesha biashara ya watumwa
1849   Ufalme wa Muungano
  Falme za Kiarabu
  Sierra Leone Jeshi la majini la Uingereza linabomoa kambi la watumwa la Lomboko.

1850-1899

Date Jurisdiction Description
1850   Marekani Sheria kuhusu watumwa watoro inadai kurudishwa kwa watumwa kwa mabwana hata kama wamefika katika majimbo pasipo na utumwa.
  Brazil Sheria mpya inafanya biashara ya watumwa kupitia bahari kuwa jinai ya uharamia.[70]
1851   Brazil

  Uruguay

Mkataba baina ya nchi mbili unawaruhusu Wabrazil wenye mashamba katika Uruguay kuwa na watumwa, Uruguay inakubali kurudisha watumwa watoro Brazil.
  Milki ya Taiping (China) Milki ya waasi wa Taiping inatangaza mwisho wa utumwa, pamoja na kupiga marufuku afyuni, kamari, ndoa ya wake wengi na kufunga miguu ya wanawake.[71][72][73]
  Granada Mpya (Kolumbia) Utumwa unakomeshwa.[56] Wenye watumwa wanapata fidia kutoka serikali.[74]
  Ekuador Utumwa unakomeshwa.[75]
Lagos Jeshi la majini ya Uingereza linavamia Lagos na kumfukuza Oba (mfalme) Kosoko aliyekataa kukomesha biashara ya watumwa.
1852   Ufalme wa Hawaii Katiba ya ufalme wa Hawaii inatangaza utumwa ni marufuku.[76]
  Ufalme wa Muungano
Lagos
Mkataba kati ya Uingereza na mfalme mpya wa Lagos unakataza biashara ya watumwa na dhabihu ya wanadamu.
1853   Argentina Utumwa unakomeshwa.[77]
1854   Peru Utumwa unakomeshwa.[78][79]
  Venezuela Utumwa unakomeshwa.[79][56]
  Milki ya Osmani Biashara ya watoto kutoka Circassia katika Kaukazi inapigwa marufuku.[onesha uthibitisho]
1855 Kigezo:Country data Moldavia Utumwa unakomeshwa.
1856 Kigezo:Country data Wallachia
1857   Marekani Katika kesi ya Dred Scott v. Sanford Mahakama Kuu inatoa hukumu kwamba watu weusi na wadhuria wao hawawezi kuwa raia wa Marekani na kwamba mtumwa hawezi kupata uhuru akiishi kwa miaka mingi katika jimbo lisilo na utumwa.
  Misri Sheria inakataza biashara ya watumwa Waafrika weusi. Biashara inaendelea.
1858   Milki ya Osmani Biashara ya watumwa Waafrika weusi inakataliwa katika majimbo ya Mashariki ya Kati, Ulaya na Kupri.
1859 Atlantic Ocean Hatimaye biashara ya watumwa ya Bahari Atlantiki inakomeshwa.
  Russia Wakazakhi katika milki ya Urusi wanakataliwa kuwa na watumwa ingawa utumwa unaendelea katika maeneo kadhaa.[80]
1860   Marekani Meli ya mwisho inaleta watumwa Marekani.
1861   Russia Uhadimu unakomeshwa.[81]
  Marekani Uchaguzi wa Abraham Lincoln kuwa rais wa Marekani unasababisha uasi wa majimbo yenye utumwa na hivyo Vita ya wenywe kwa wenyewe ya Marekani.
1862   Marekani
  Ufalme wa Muungano
Mkataba baina ya serikali inakataza biashara ya watumwa, hasa kutoka Afrika (African Slave Trade Treaty Act).[82]
  Kuba ya Kihispania Biashara ya watumwa inakomeshwa.[79]
  Marekani Nathaniel Gordon becomes the only person hanged in U.S. history "for being engaged in the slave trade".
1863   Uholanzi Utumwa unakomeshwa katikam koloni za Uholanzi; watumwa 33,000 katika Surinam na 12,000 katika Curaçao wanapata uhuru wao,[83] pamoja na nidadi isiyojulikana katika koloni ya Indonesia.
  Marekani Rais Lincoln anatangaza uhuru wa watumwa wote katika majimbo yaliyoasi na kuunda Shirikisho la Madola ya Marekani.
  Iceland Exemptions introduced to serfdom under the Vistarband system.
New Zealand Utumwa unakomeshwa kwenye Visiwa vya Chatham.[84]
1864   Poland ya Kirusi Uhadimu unakomeshwa.[85]
1865   Marekani Utumwa unakomeshwa (isipokuwa kama adhabu ya jinai) katika nyongeza ya 13 ya katiba ya Marekani. Watumwa 40,000 waliobaki katika majimbo yenye utumwa ambayo hayakuasi mwaka 1961.[86]
  Texas Baada ya uvaimizi wa Texas kwa jeshi la Marekani, utumwa unakomeshwa.
  Hispania Spanish Abolitionist Society founded in Madrid by Julio Vizcarrondo, José Julián Acosta and Joaquín Sanromá.[44]
1867   Hispania Sheria mpya ya kukataa biashara ya watumwa.[44]
  Marekani Uhadimu wa Waindio katika eneo jipya la New Mexico unakomeshwa.[87]
1868   Kuba ya Kihispania Wakati wa vita ya uhuru wa Kuba, viongozi wa uasi dhidi Hispania wanatangaza uhuru wa watumwa wote
1869   Ureno Mfalme Louis I anakomesha utumwa katika maeneo yote yaliyo chini ya Ureno
1870   Hispania Amidst great opposition from the Cuban and Puerto Rican planters, Segismundo Moret drafts a "Law of Free Wombs" that frees children of slaves, slaves older than 65 years, and slaves serving in the Spanish Army, beginning in 1872.[44]
1871   Brazil Rio Branco Law (Law of Free Birth) makes the children born to slave mothers free.[88]
  Milki ya Osmani Biashara ya watumwa inapigwa marufuku.
1873   Puerto Rico Utumwa unakomeshwa.
  Ufalme wa Muungano
  Zanzibar
  Madagaska
Biashara ya watumwa inakomeshwa katika mkataba baina ya nchi tatu.[82]
1874   Gold Coast Utumwa unakomeshwa.[89]
1879   Bulgaria Utumwa unakomeshwa wakati Bulgaria inapata uhuru wake kutoka Milki ya Osmani.
1882   Milki ya Osmani Amri ya Sultani inatangaza uhuru wa watumwa wote, weusi na weupe.[90]
1884   Kamboja Utumwa unakomeshwa.
1885   Brazil Sheria inatangaza uhuru wa watumwa waliopita umri wa miaka 60 na kuweka utaratibu kwa uhuru wa watumwa wote hatua kwa hatua.
1886   Kuba ya Kihispania Utumwa unakomeshwa.[79]
1888   Brazil Hatimaye utumwa unakomeshwa.[91]
1890   Ufalme wa Muungano
  Ufaransa
  Dola la Ujerumani
  Portugal
  Dola Huru la Kongo
  Ufalme wa
  Hispania
  Uholanzi
  Ubelgiji
  Urusi
  Austria-Hungaria
  Uswidi - Norwei
  Denmark
  Marekani
  Milki ya Osmani
  Zanzibar

  Uajemi (Iran)

Mkataba wa Mkutano wa Kupambana na Utumwa wa Brussels 1889-90 unakubaliwa na mataifa yanayoshiriki katika mkutano huo. Athiri yake inaonekana hasa katika Kongo, Milki ya Osmani na kwenye pwani la Afrika ya Mashariki.
1894   Korea Utumwa unakomeshwa, lakini unaendelea kwa viwango fulani hadi 1930.[92]
  Iceland Uhadimu wa wtu wasiomiliki ardhi unakomeshwa.
1895   Taiwan Taiwan is annexed by Japan, where slavery has been abolished.
1895   Misri Utumwa unakomeshwa.[93]
Somalia ya Kiitalia Watumwa wa kwanza kupewa uhuru[94]
1896   Madagaska ya Kifaransa Utumwa unakomeshwa.
1897   Zanzibar Utumwa unakomeshwa.[95]
  Siam Biashara ya watumwa inakomeshwa.[96]
  Milki ya Osmani, Basra Watoto wa watumwa waliopata uhuru wanapewa hati za uhuru
1899   Ndzuwani (Komori) Utumwa unakomeshwa.

Marejeo

  1. https://www.globalslaveryindex.org/2018/data/maps/#prevalence
  2. Athenaion Politeia 12.4, quoting Solon s:Athenian Constitution#12
  3. Garland, Robert (2008). Ancient Greece: Everyday Life in the Birthplace of Western Civilization. New York City, New York: Sterling. uk. 13. ISBN 978-1-4549-0908-8. 
  4. Finley, M. I. (1980). Ancient Slavery and Modern Ideology. New York: Viking Press. uk. 78. 
  5. Siddharth Kara (10 October 2017). Modern Slavery: A Global Perspective. Columbia University Press. uk. 18. ISBN 978-0-231-52802-3. Ashoka outlawed the slave trade in the Mauryan Empire  Check date values in: |date= (help)
  6. 6.0 6.1 Encyclopedia of Antislavery and Abolition. Greenwood Publishing Group. 2011. uk. 155. ISBN 9780313331435.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  7. Harcourt Education (December 2006). Encyclopedia of Slave Resistance and Rebellion. ISBN 9780313036736. Iliwekwa mnamo 2013-08-28.  Check date values in: |date= (help)
  8. Denzinger, Heinrich P. (2012). Compendium of Creeds, Definitions, and Declarations on Matters of Faith and Morals. Santa Francisco, California: Ignatius Press. uk. 229. ISBN 978-0-89870-746-5. 
  9. "Internet History Sourcebooks Project". sourcebooks.fordham.edu. 
  10. Pijper, Frederik (1909). "The Christian Church and Slavery in the Middle Ages". The American Historical Review (American Historical Association) 14 (4): 681. JSTOR 1837055. doi:10.1086/ahr/14.4.675. 
  11. "Statute of Korcula from 1214 – Large Print". Korculainfo.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 16 March 2013. Iliwekwa mnamo 2013-08-28.  Check date values in: |archivedate= (help)
  12. Backhaus, Jürgen (2012-05-31). Hans A. Frambach in Jürgen Georg Backhaus: "The Liberation of the Serfs". uk. 33. ISBN 9781461400851. Iliwekwa mnamo 2013-08-28. 
  13. Miller, Christopher L. (11 January 2008). The French Atlantic triangle: literature and culture of the slave trade. uk. 20. ISBN 978-0822341512. Iliwekwa mnamo 2013-08-28.  Check date values in: |date= (help)
  14. 14.0 14.1 David Eltis; Keith Bradley; Paul Cartledge (25 July 2011). The Cambridge World History of Slavery: Volume 3, AD 1420 – AD 1804. Cambridge University Press. ku. 142–143–326–327–331–332–333–602. ISBN 978-0-521-84068-2.  Check date values in: |date= (help)
  15. 15.0 15.1 "Disappearance of Serfdom. France. England. Italy. Germany. Spain.". www.1902encyclopedia.com. Iliwekwa mnamo 21 March 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  16. PITTORESQUE, LA FRANCE (2018-01-23). "23 janvier 1318 : le roi Philippe V affranchit les serfs de ses domaines". La France pittoresque. Histoire de France, Patrimoine, Tourisme, Gastronomie (kwa fr-FR). Iliwekwa mnamo 2021-03-20. 
  17. John Roach; Jürgen Thomaneck (1985). Police and public order in Europe. Taylor & Francis. uk. 256. ISBN 978-0-7099-2242-1. 
  18. Samuel Augustus Mitchell (1859). A general view of the world: comprising a physical, political, and statistical account of its grand divisions ... with their empires, kingdoms, republics, principalities, &c.: exhibiting the history of geographical science and the progress of discovery to the present time ... Illustrated by upwards of nine hundred engravings ... H. Cowperthwait & Co. uk. 335. Iliwekwa mnamo 1 April 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)
  19. 19.0 19.1 Encyclopedia of Antislavery and Abolition. Greenwood Publishing Group. 2011. uk. 156. ISBN 9780313331435.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  20. Mizerski, Witold (2013). Tablice historyczne (kwa Polish). Warsaw: adamantan. uk. 113. ISBN 978-83-7350-246-8. 
  21. "Sicut Dudum Pope Eugene IV – January 13, 1435 – Papal Encyclicals". papalencyclicals.net. 13 January 1435. Iliwekwa mnamo 21 March 2018.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  22. Denzinger, Heinrich P. (2012). Compendium of Creeds, Definitions, and Declarations on Matters of Faith and Morals. Santa Francisco, California: Ignatius Press. ku. 367–8. ISBN 978-0-89870-746-5. 
  23. Maria Suzette Fernandes Dias (2007). Legacies of slavery: comparative perspectives. Cambridge Scholars Publishing. uk. 71. ISBN 978-1-84718-111-4. Iliwekwa mnamo 2010-07-14. 
  24. Gary João de Pina-Cabral (2002). Between China and Europe: person, culture and emotion in Macao. Berg Publishers. uk. 114. ISBN 0-8264-5749-5. Iliwekwa mnamo 2010-07-14. 
  25. Gary João de Pina-Cabral (2002). Between China and Europe: person, culture and emotion in Macao. Berg Publishers. uk. 115. ISBN 0-8264-5749-5. Iliwekwa mnamo 2010-07-14. 
  26. Valenzuela Márquez, Jaime (2009). "Esclavos mapuches. Para una historia del secuestro y deportación de indígenas en la colonia". Katika Gaune, Rafael; Lara, Martín. Historias de racismo y discriminación en Chile (kwa Kihispania). ku. 234–236. 
  27. 27.0 27.1 Andrea Major (2012). Slavery, Abolitionism and Empire in India, 1772-1843. Liverpool University Press. ku. 52–55. ISBN 978-1-84631-758-3.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  28. Finkelman, Paul (2007). "The Abolition of The Slave Trade". New York Public Library. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-10-09. Iliwekwa mnamo 25 June 2014.  Check date values in: |accessdate= (help)
  29. "Constitution of Vermont (1777)". State of Vermont. 1777. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-12-28. Iliwekwa mnamo 7 June 2014.  Check date values in: |accessdate= (help)
  30. Lee Ann, Cox. "UVM historian examines Vermont's mixed history of slavery and abolition". 
  31. "Slavery, freedom or perpetual servitude? – the Joseph Knight case". The National Archives of Scotland. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-08-22. Iliwekwa mnamo 5 July 2014.  Check date values in: |accessdate= (help)
  32. "Historical survey > Slave societies". Britannica.com. Iliwekwa mnamo 2013-08-28. 
  33. A. B. C. Sibthorpe, The history of Sierra Leone (1970) p. 8
  34. 1911 Encyclopedia Britannica.
  35. Rodriguez, Junius P. (1997). The Historical encyclopedia of world slavery, Volume 1. ISBN 9780874368857. Iliwekwa mnamo 2013-08-28. 
  36. https://sthelenaisland.info/slavery/ St. Helena and te abolition of slavery], tovuti ya St. Helena Info
  37. David B. Gaspar, David P. Geggus, A Turbulent time: the French Revolution and the Greater Caribbean (1997) p. 60
  38. "Slavery in Malta". 
  39. David N. Gellman (2008). Emancipating New York: The Politics of Slavery and Freedom, 1777–1827. LSU Press. ku. 2, 215. ISBN 9780807134658. 
  40. Foner, Eric. "Forgotten step towards freedom," New York Times. 30 December 2007.
  41. Sailing against slavery. By Jo Loosemore BBC
  42. 42.0 42.1 Kantowicz, Edward R. (1975). Polish-American politics in Chicago, 1888–1940. University of Chicago Press. uk. 6. ISBN 978-0-226-42380-7. Iliwekwa mnamo 30 January 2012.  Unknown parameter |url-access= ignored (help); Check date values in: |accessdate= (help)
  43. Woodward, Augustus. "Slavery in the Northwest Territory". Leelanau Communications, Inc. Iliwekwa mnamo 10 September 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)
  44. 44.0 44.1 44.2 44.3 44.4 Profa. Mª Magdalena Martínez Almira APUNTES sobre la ABOLICIÓN ESCLAVITUD EN ESPAÑA. Archived 23 Novemba 2015 at the Wayback Machine. artic.ua.es, accessed 30 August 2019
  45. Carole Elizabeth Boyce Davies (2008). Encyclopedia of the African Diaspora: vol 1. uk. 95. ISBN 9781851097050. 
  46. Treaty of Paris (1814), Kipengele cha ziada I, Wikisource
  47. [https://www.napoleon-series.org/research/government/legislation/c_slavery2.html Napoleon's Decree Abolishing the Slave Trade], tovuti ya The Napoleon Series (Waterloo Association)
  48. Mark Jarrett (2014). The Congress of Vienna and its Legacy. uk. 144. ISBN 9781784530563. 
  49. TREATY between his Britannic Majesty and his Catholic Majesty, for preventing their subjects from engaging in any illicit traffic in slaves. Signed at Madrid the 23rd of September 1817., api.parliament.uk/historic-hansard/commons/1818/jan/28
  50. Higginbotham, pp. 146–47.
  51. "Chronological Table of the Statutes" (1959 edition)
  52. Levin, Stephenie Seto (1968). "The Overthrow of the Kapu System in Hawaii". Journal of the Polynesian Society (Wellington, NZ: Polynesian Society) 77: 402–430. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-04-19. Iliwekwa mnamo 2021-07-10. 
  53. "Slavery- A Timeline". 
  54. Profa. Mª Magdalena Martínez Almira APUNTES sobre la ABOLICIÓN ESCLAVITUD EN ESPAÑA. Archived 23 Novemba 2015 at the Wayback Machine. artic.ua.es, accessed 30 August 2019
  55. Profa. Mª Magdalena Martínez Almira APUNTES sobre la ABOLICIÓN ESCLAVITUD EN ESPAÑA. Archived 23 Novemba 2015 at the Wayback Machine. artic.ua.es, accessed 30 August 2019
  56. 56.0 56.1 56.2 Aguilera, Miguel (1965). La Legislacion y el derecho en Colombia. Historia extensa de Colombia 14. Bogota: Lemer. ku. 428–442. 
  57. Banning, Emile: Africa and the Brussels Geographical Conference, London 1877, uk. 135
  58. Greek Constitution of 1823, article 9, https://www.hellenicparliament.gr/UserFiles/f3c70a23-7696-49db-9148-f24dce6a27c8/syn07.pdf
  59. David N. Gellman (2008). Emancipating New York: The Politics of Slavery and Freedom, 1777–1827. ku. 2, 215. ISBN 9780807134658. 
  60. Alwyn Barr (1996). Black Texans: A History of African Americans in Texas, 1528–1995. uk. 15. ISBN 9780806128788. 
  61. Oldfield, Dr John (February 17, 2011). "British Anti-slavery". BBC History. BBC. Iliwekwa mnamo January 2, 2017. the new legislation called for the gradual abolition of slavery. Everyone over the age of six on August 1, 1834, when the law went into effect, was required to serve an apprenticeship of four years in the case of domestics and six years in the case of field hands  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  62. Serbian: "Сретењски устав – Устав Књажества Сербије". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 4 October 2013. Iliwekwa mnamo 2013-06-10.  Check date values in: |archivedate= (help)
  63. "Slavery in Colonial Times". 2010. 
  64. Dexter, Darrel (2004). "Slavery In Illinois: How and Why the Underground Railroad Existed". Freedom Trails: Legacies of Hope. Illinois Freedom Trail Commission. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 4 February 2016. Iliwekwa mnamo 6 February 2016.  Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  65. "The Abolition of Slavery in Tunisia 1841-1846 | United Nations Educational, Scientific and Cultural Organization". www.unesco.org. 
  66. Ehûd R. Tôledānô (1998). Slavery and Abolition in the Ottoman Middle East. uk. 11. ISBN 9780295802428. 
  67. Anderson, Kevin (15 May 2010). Marx at the margins: on nationalism, ethnicity, and non-western societies. University of Chicago Press. uk. 77. ISBN 978-0-226-01983-3. Iliwekwa mnamo 30 January 2012.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  68. Smith, William Frank (November 2010). Catholic Church Milestones: People and Events That Shaped the Institutional Church. Dog Ear Publishing. uk. 65. ISBN 978-1-60844-821-0. Iliwekwa mnamo 30 January 2012.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  69. Kamusella, Tomasz (2007). Silesia and Central European nationalisms: the emergence of national and ethnic groups in Prussian Silesia and Austrian Silesia, 1848–1918. Purdue University Press. uk. 73. ISBN 978-1-55753-371-5. Iliwekwa mnamo 30 January 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)
  70. David T. Haberly (1972). Abolitionism in Brazil: Anti-slavery and anti-slave. Luso-Brazilian. ku. 30–46. 
  71. "Chinese Cultural Studies: The Taiping Rebellion, 1851-1864". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 1 December 2015. Iliwekwa mnamo 2015-11-25.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Unknown parameter |df= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate= (help)
  72. Hays, Jeffrey. "TAIPING REBELLION – Facts and Details". factsanddetails.com. Iliwekwa mnamo 21 March 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  73. Lester K. Buehler, Ph.D: A Study of the Taiping Rebellion olemiss.edu, accessed 30 August 2019
  74. Tovar Pinzón, Hermes. "La manumisión de esclavos en Colombia, 1809- 1851, Aspectos sociales, económicos y políticos", Revista Credencial, November 1994. Retrieved on 2021-08-11. Archived from the original on 2021-01-02. 
  75. "Esclavitud – Historia del Ecuador – Enciclopedia Del Ecuador". enciclopediadelecuador.com. 28 March 2016. Iliwekwa mnamo 21 March 2018.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  76. Wong, Helen; Rayson, Ann (1987). Hawaii's Royal History. Honolulu: Bess Press. uk. 101. ISBN 978-0-935848-48-9. 
  77. Robert J. Cottrol (2013). The Long, Lingering Shadow: Slavery, Race, and Law in the American Hemisphere. University of Georgia Press. uk. 121. ISBN 9780820344058. 
  78. Jorge Basadre (1998) [First published 1939]. Historia de la República del Perú. 1822 - 1933 (kwa Kihispania) 4 (toleo la 8th). Ricardo Parma University Press. ku. 833–835. 
  79. 79.0 79.1 79.2 79.3 Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named timeline
  80. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-09-04. Iliwekwa mnamo 2021-08-11. 
  81. Peter Kolchin, Unfree Labor (1987)
  82. 82.0 82.1 Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named britleg
  83. Finkelman and Miller, Macmillan Encyclopedia of World Slavery 2:637
  84. Davis, Denise; Solomon, Māui. "Moriori - The impact of new arrivals". Te Ara: The Encyclopedia of New Zealand. https://teara.govt.nz/en/moriori/page-4.
  85. Juliusz Bardach, Boguslaw Lesnodorski, and Michal Pietrzak, Historia panstwa i prawa polskiego, >
    • Warsaw: Paristwowe Wydawnictwo Naukowe, 1987, pp. 389–394
  86. Ben Waldron (February 18, 2013). "Mississippi Officially Abolishes Slavery, Ratifies 13th Amendment". ABC News. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo June 27, 2013. Iliwekwa mnamo April 23, 2013.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |date=, |archivedate=, |accessdate= (help)
  87. Leland Donald (1997). Aboriginal Slavery on the Northwest Coast of North America. uk. 244. ISBN 9780520918115. 
  88. Robert E. Conrad, The destruction of Brazilian slavery, 1850–1888 (1972) p. 106
  89. Suzanne Miers and Richard L. Roberts, The End of slavery in Africa (1988) p. 79
  90. Y. Hakan Erdem, Slavery in the Ottoman Empire and Its Demise, 1800–1909 (1998).
  91. Finkelman and Miller, Macmillan Encyclopedia of World Slavery 1:124
  92. Junius P. Rodriguez (1997). The Historical Encyclopedia of World Slavery. ABC-CLIO. uk. xxiii.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  93. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-07-09. Iliwekwa mnamo 2021-08-11. 
  94. "The Somali Bantu Their History and Culture". 
  95. "Swahili Coast". National Geographic. 2002-10-17. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-12-06. Iliwekwa mnamo 2013-08-28.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
  96. Baker, Chris; Pasuk Phongpaichit. A History of Thailand, Cambridge: Cambridge University Press, 2006, p. 61.